Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,235
- 86,946
Atakuwa anaandaa pic konki ya kunyakua kombe, akishinda boss tutapata vocha za million kila mmoja nkamu 😂😂
Ila kwa shangazi ndizi na dagaa zinatuita 😹
Atakuwa anaandaa pic konki ya kunyakua kombe, akishinda boss tutapata vocha za million kila mmoja nkamu 😂😂
Shangazi itabidi avumilie kwa siku moja sio mbaya 😂😂Shangazi atakuwa anaona heri mumnyonge
Kuliko kuruhusu mimi nikae mbele kwenye gari yake na Sele
🤣😜😜😜😂😂😂 Weeh kwani na shem yule mmeachana??
Sa itakuwaje?!
Amen nashukuru Mungu kwakweli!Nilikuwa nasubiri ukae sawa wizo halafu uje useme.l🥰
Unataka iweje wizo
Nitumie details zote tufanye mambo
Unataka shangazi apasuke weweShangazi itabidi avumilie kwa siku moja sio mbaya 😂😂
🤣🤣🤣Babu km babuTayana-wog usimpige babu maombi ana mapepo bana 😂😂😂
Hawezi km hataki tutamshusha aje na boda asitutanie hata km gari la uncle sele 😹Unataka shangazi apasuke wewe
Babu hana baya.. kanifatie korosho zangu 🤣🤣🤣🤣🤣Babu km babu
Tupia Tayana nione body kinanda mahi 😜Eeh selfika pameanza kuchangamka😜
Picha tafadhali
Mie huyu😜Babu hana baya.. kanifatie korosho zangu 🤣🤣
Utafanya shangazi atuwinde na shabaha aiseeHawezi km hataki tutamshusha aje na boda asitutanie hata km gari la uncle sele 😹
WeeeeTupia Tayana nione body kinanda mahi 😜
Ndio wewe 😂😂Mie huyu😜
Sawa mwambie atume nauli niende
🤣🤣🤣 Nkamu shangazi hana jeuri hiyo si ndio washika pochi yake..!Utafanya shangazi atuwinde na shabaha aisee
Fanya chap mremboWeeee
Ushatuombea kifo😁😁Huendi mbinguni ujue 😂! Hahaha
Wacha tuendelee kuutendea uzi haki
Hauna kafoto Karibu hapo unibles nikachochee mandondo Yangu vizuri????
Sasa hadi wanaume wanafunga pm?? Wanaficha nini? Wanawake sawa tena inatakiwa yawepo makomeo ya kutoshaThe Monk fungua pm chap, unaomba namba halafu unafunga pm namna gani tajiriiii 😂😂
Tajiri muaminifu bana hataki hekaheka atakufungulia ukatulie peke yako piemuni mahi.!! Wale wa kuacha pm wazi wengi fisi maji 😹😹😹 Mje mniue niko bonyokwa
Ila nyinyi watu, mbavu zangu jamani. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mna nini lakini? Sijui maneno yanatoka wapi? Halafu wachochezi hao 🙌🙌🙌🙌😅😅😅😅 hatuselfiki leo 😂😂😂😂