Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Karangi kama ka mtu fudenge, ngozi nyororo, shingo ya pingili, hupendezi kuvaa njano na kijani angalia uzi mwekundu ulivyokutoa hapo
Don't underestimate the power of filter kipenzi! Mie Niko jeusiii hatari shingo ni Kamera tu imenikatakata

Hapo nawachawia wanathiiimba leo mpigwe na wadogo zenyuuuu!
Sema nyie ndugu hamdhuriani kihivo kama Azam au 5imba ikicheza na wanaume 😁😁💚💚💚💛💛🖤🖤

Kuhama Yanga bora mniuee😁😁😁
 
Don't underestimate the power of filter kipenzi! Mie Niko jeusiii hatari shingo ni Kamera tu imenikataka

Hapo nawachawia wanathiiimba leo mpigwe na wadogo zenyuuuu!
Sema nyie nduguze hamdhuriani kihivo kama Azam au 5imba ikicheza na wanaume 😁😁💚💚💚💛💛🖤🖤
Basi na mi unipe camera yako maana imekupendelea sana
 
Wale wanaokimbia id wengi wanakutana wanafanya mchezo mbaya kweli 😂😂😂

Kuna id ilitongozwa mara mbili hakujua huyo manzi wake ana id mbili 😹😹

Kule anamwambia manzi Sina pesa, halafu kwenye id nyingine anamspoil kwa miamala 🤣🤣🤣
Asije akawa inni yule wa sumbai mchuchu

Muokoe huyu ndugu yangu anahitaji kusaidiwa
 
Sasa Lamomy wote tumefunga milango hayo matunda yatapita wapi? Halafu sikujua kama na wakaka wanafunga pm😅😅
The Monk fungua pm chap, unaomba namba halafu unafunga pm namna gani tajiriiii 😂😂

Tajiri muaminifu bana hataki hekaheka atakufungulia ukatulie peke yako piemuni mahi.!! Wale wa kuacha pm wazi wengi fisi maji 😹😹😹 Mje mniue niko bonyokwa
 
🤣🤣🤣 Nasikia hao OYA wanadai km una mimba unajifungua kabla y’a siku zako.!!

Mwambie shem akulipie bana.!
Umenikumbusha nna mamkubwa wangu anakopaga mikopo halafu mume wake ndiye mlipaji, akiulizwa pesa umepeleka wapi Hana majibu ya kueleweka.!
Kisa mzuri halafu chotara basi anampelekesha ba mkubwa had huruma. 🤣🤣
😂😂😂😂
 
Ini kasema ss hivi kaacha tabia mbaya ilikuwa maisha tu magumu hakuwa na jinsi ndiomana alifanya vile 😂😂😂

Halafu ini yupo humu humu selfika anawachora mjue 🤣🤣
Mtoto maku sana yule kidogo tu anaomba picha za dusherere.

Vibomu sasa maninah zake sana
 
Hee!
Tuangamie tena?😂
Nani atamsifia sasa?

Hiyo lazima tu atatupia wee
Anaachaje kutupia wakati SI unit ya pambano ipo kwenye mshepu😂
Eti jamani Nkamu sisi team yake akituangamiza nani atamsapoti na kumshangilia 🤣🤣🤣

Mshepu muhimu ndio unabeba ushindi wa jumla jumla, naona kashtua kidogo kabla hajatupia hiroshima 😹😹😹
 
Eti jamani Nkamu sisi team yake akituangamiza nani atamsapoti na kumshangilia 🤣🤣🤣

Mshepu muhimu ndio unabeba ushindi wa jumla jumla, naona kashtua kidogo kabla hajatupia hiroshima 😹😹😹
Kwa Bulldozer sisi tunapokea tu mibaraka aisee
Ajue tu sisi tupo sana na tunatamba naye😂
 
Back
Top Bottom