Kasema hujatoa acha ubabaifu, kwann unamtesa shem hivi lakini?? 😂😂Nineshatoa mbona, hebu mpeleke taratibu mstaafu wangu mwishowe ajikwae,
Hahaha...........lakini si unajua Babu yako nina ile fimbo, sijaitumia nina muda mrefu ujue? 😜😂😂😂 babu Ntakuchapa ujue
Wewe lete hizo korosho kwanza
🤣🤣🤣🤣🤣M
Mrembo wadunia...
Tayana-wog
Sellfika basi..
Mzungu dihaUtazaa na nani mahi 😜😂😂😂
Wizoooo uko poaaaHazitaki hizi mbichi shangazi
Kama vipi rudi tu Nkamu umpe kampani.
Sisi team shangazi tunaamini
Shangazi atarudi Kwa kishindo kama awamu ya sita,kujibu yale mapigo ya kina Bantu
Mnywani kama mnywaniLeo Lolote BAYA liwakute Makolo kwa wadogo zenyu!
Muwe na Jioni njema wapendwa
Nitamtuma mdogo angu tayana anifatie korosho babu 😂😂Hahaha...........lakini si unajua Babu yako nina ile fimbo, sijaitumia nina muda mrefu ujue? 😜
Mtume mjumbe aje nimpe Korosho zako, ukiwa na nafasi pitia mwenyewe ofisini kwangu 🤗
Forever and always mnywanii!!!Mnywani kama mnywani
Sijatoka leo home njoo nikufundishe ile surrat aliyekuambia arsis. Nshashika udhu.
Oyooooooo.!!Leo Lolote BAYA liwakute Makolo kwa wadogo zenyu!
Muwe na Jioni njema wapendwa
Hahaha............huyo akija lazima anipige maombi kama ya Mwamposa ili niache kuvuta Kiko zangu, maana hataki hata kusikia harufu yake😜Nitamtuma mdogo angu tayana anifatie korosho babu 😂😂
😂😂😂 Weeh kwani na shem yule mmeachana??Mzungu diha
We subiri tu🤣
Weuweee🔥🔥🔥Oyooooooo.!!
Uduguu weee.!! Mtoto mlito udongo wa Dubenga 😍😍😍
Nkamu Saint Anne umeona huku auntie anavyowaka!! Haya ita team yako tayari tusharudisha na tumefunga lingine ubao unasoma 2-1 😹😹😹
Nilikuwa nasubiri ukae sawa wizo halafu uje useme.l🥰Wizoooo uko poaaa
Keki ya congratulations tafdhali🤣🤣
Najipongezaaa🎉
Odo asiogoprUongo 😂😂😂
Nkamu Saint Anne njoo uwe bodyguard wa odo anaogopa.!
😂😂😂Weuweee🔥🔥🔥
Auntie kawaka na hiyo jezi🔥🔥🔥🔥
Sipatii picha akitupia na ile ya kitenge.
Halafu ngozi yake sasa inang'aa utasema anaogea maziwa.
Pambano bado bichi hili 🔥🔥🔥
😂😂😂 odo anaogopaOdo asiogopr
Baunsa zake tupo..tena mimi sitamuacha pekeyake maana muda wote nipo sinaga ban.
Wiki hii tunakula keki ya upako kwa bulldozer.Forever and always mnywanii!!!
Nakujaaa unifunze hio surat mnywanii kuna viumbe vilitaka kunidhuruuu ila vilinikuta sidhuriki ndio nikamuuliza Arsis mnywanii!
Natamani siku nivikamate ila ndoiivooo mi sio wa Mungu sana sio wa mgangaaaa basi imani yangu inahang hang tu 😂!!