Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😂😂😂 babu Ntakuchapa ujue
Wewe lete hizo korosho kwanza
Hahaha...........lakini si unajua Babu yako nina ile fimbo, sijaitumia nina muda mrefu ujue? 😜

Mtume mjumbe aje nimpe Korosho zako, ukiwa na nafasi pitia mwenyewe ofisini kwangu 🤗
 
Hahaha...........lakini si unajua Babu yako nina ile fimbo, sijaitumia nina muda mrefu ujue? 😜

Mtume mjumbe aje nimpe Korosho zako, ukiwa na nafasi pitia mwenyewe ofisini kwangu 🤗
Nitamtuma mdogo angu tayana anifatie korosho babu 😂😂
 
Mnywani kama mnywani
Sijatoka leo home njoo nikufundishe ile surrat aliyekuambia arsis. Nshashika udhu.
Forever and always mnywanii!!!

Nakujaaa unifunze hio surat mnywanii kuna viumbe vilitaka kunidhuruuu ila vilinikuta sidhuriki ndio nikamuuliza Arsis mnywanii!

Natamani siku nivikamate ila ndoiivooo mi sio wa Mungu sana sio wa mgangaaaa basi imani yangu inahang hang tu 😂!!
 
Nitamtuma mdogo angu tayana anifatie korosho babu 😂😂
Hahaha............huyo akija lazima anipige maombi kama ya Mwamposa ili niache kuvuta Kiko zangu, maana hataki hata kusikia harufu yake😜
 
Oyooooooo.!!
Uduguu weee.!! Mtoto mlito udongo wa Dubenga 😍😍😍
Nkamu Saint Anne umeona huku auntie anavyowaka!! Haya ita team yako tayari tusharudisha na tumefunga lingine ubao unasoma 2-1 😹😹😹
Weuweee🔥🔥🔥
Auntie kawaka na hiyo jezi🔥🔥🔥🔥

Sipatii picha akitupia na ile ya kitenge.

Halafu ngozi yake sasa inang'aa utasema anaogea maziwa.

Pambano bado bichi hili 🔥🔥🔥
 
Weuweee🔥🔥🔥
Auntie kawaka na hiyo jezi🔥🔥🔥🔥

Sipatii picha akitupia na ile ya kitenge.

Halafu ngozi yake sasa inang'aa utasema anaogea maziwa.

Pambano bado bichi hili 🔥🔥🔥
😂😂😂
Auntie katisha sana, ningeshangaa auntie akubali kuweka silaha chini kirahisi aah subutuuu.!!
Labda sio aunt ninayemjua, shangazi Hana mpinzani bado anatetea ubingwa wake wa selfika 😹😹😹😹

Auntie tupe nyingine tuwapige 7 🤣
 
Forever and always mnywanii!!!

Nakujaaa unifunze hio surat mnywanii kuna viumbe vilitaka kunidhuruuu ila vilinikuta sidhuriki ndio nikamuuliza Arsis mnywanii!

Natamani siku nivikamate ila ndoiivooo mi sio wa Mungu sana sio wa mgangaaaa basi imani yangu inahang hang tu 😂!!
Wiki hii tunakula keki ya upako kwa bulldozer.

Karibu umalize kesi zako zote mnywani
 
Back
Top Bottom