Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,883
- 67,334
sasa wakunifukuza hapa tz ni nani?Yesu Alikimbizwa Misri ili asiuwawe na Herode.
Ukipata nafasi ya kuondoka Ondoka Haraka. Cc min -me
sasa wakunifukuza hapa tz ni nani?Yesu Alikimbizwa Misri ili asiuwawe na Herode.
Ukipata nafasi ya kuondoka Ondoka Haraka. Cc min -me
Kuhusu Bantu Lady kubarikiwa Hilo halina mjadala mchuchu.Wee tajiriii unazo km hizo umezipaki bana 😜
Sisi watembea kwa miguu ndio tunafokewa 🤣🤣🤣
Ombi langu lile lile mkuu msalimie sana anitta hapo Spain wiki hii ana show hapoHapana mkuu , gari ni kitu cha kawaida mno.
Ombi langu lile lile mkuu msalimie sana anitta hapo Spain wiki hii ana show hapoHapana mkuu , gari ni kitu cha kawaida mno.
Duh mkuu haya ya kutekana huyaoni 🤣😁sasa wakunifukuza hapa tz ni nani?
wamba nitakuja kutekwa similiki pisto wala visitDuh mkuu haya ya kutekana huyaoni 🤣😁
boss sio cha kawaida uku kwetu mafuta lita 3000 imagine upo na familia watoto wanataka kula gar pia,linatak kula mh mm siwez afford ata passo for sureHapana mkuu , gari ni kitu cha kawaida mno.
Huyo boss mkubwa na anatokea familia yenye pesa Tz 😂😂😂Kuhusu Bantu Lady kubarikiwa Hilo halina mjadala mchuchu.
Mungu kampa Kila kitu and gudluck toto la watu halijui kuringa
Tajiriiiiii nasubiri selfie yako min nilale 😂😂😂Hapana mkuu , gari ni kitu cha kawaida mno.
Wakili Tupia Moja kalii 😎😎Tajiriiiiii nasubiri selfie yako min nilale 😂😂😂
😁🤣😁😁mm sio mtu wa ugomv wala.visasi so sizan k
wamba nitakuja kutekwa similiki pisto wala visit
🤣🤣🤣 asugue na jik, shingo ina nongo ptyuuuu.!! 🤮
Cm zingine hazina filter, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Filter zipo Kwa simu jamani Kwa hiyo msihofu kupost
Kwan USA hawalimiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani wanatupia pic wapate mademu?? [emoji1787][emoji1787]
Kuna mmoja alikuwa anatupia pics yuko maandishi matatu, (USA) siku ya siku nimemuona kwenye uzi mmoja analalamika mbegu alizopanda shambani kwake mkoani huko hajizastawi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anaomba ushauri kwa mabwana kilimo wamsaidie [emoji1787][emoji1787]
Zee zima una edit picha, hujiaminiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mrembooo!!
[emoji360] hiyo ndo imeni turn on. [emoji91][emoji91][emoji91]Kuna wapenda Ice cream kama mimi hasa usiku [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]View attachment 3089745