Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mich u too oddo 😘😘
Wewe tajiriiiii bana hakuna wa kukuteka 😂😂

Oddo nifanyie mpango niongeze mtaji wa vijora na mimi nifoke km wewe 😜
Odo ake tajiri wa wapi, niko pangu pakavu tia mchuzi 😅😅😅😅😅 utamfanya Mwachi atoke Iringa usiku huu. Anataka kulala Hyatt eti tumchangie 🤣🤣🤣🤣
 
Kweli ndugu yangu umenichoka aisee 😂😂
Huyo vin mi namchukulia km burudani yangu humu JF, halafu ss hivi kimepoa kinapambania blue tick irudi 🤣🤣

Ile nishamwambia baba Jane bai bai 😹

Yeye kutukata midomo wambea achukue Platinum awe anailipia 🤣🤣
Wakili wangu Fanya maajabu nilipie platinum hiyo 😎😎😎
 
🤣🤣🤣🤣 Ila Chinno unazingua!!
Mi sina rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu, JF kuna drama nyingi sana humu.!
Muhimu kutowatilia maanani, uki log in uwe na ukichaa flan ukiichukulia serious itakutesa..!!
Mi hainiumizi kabisaaa.!!
Hahaha ukichaa flani
Na una chachamaaga unakua kama mbogo flani uliyejeruhiwa;
 
Back
Top Bottom