ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 16,787
- 61,256
Dah! Mkwe muulize hata mtoto wako atakuambia
Dah! Mkwe muulize hata mtoto wako atakuambia
Sawa, mwanangu anajua kuchagua hajawahi kuniangushaDah! Mkwe muulize hata mtoto wako atakuambia
Post picha yako, acha kupost za wengine. Ngoja nitafute picha yako niiweke
Unazingua..! Fanya kulala mimi niondoke na kijiji hapaPost picha yako, acha kupost za wengine. Ngoja nitafute picha yako niiweke
We,Mkwe njoo unipitie na ndinga yako
Basi chukua pikipiki unifateWe,
Natembea Kwa mguuu kwenda na kurudi mkwe.
Usijefanya nikachambwa🤣🤣🤣
Shangaa na wewe!! Yani mtu asiselfike kisa sie tunapiga story zetu, wao waseme wana yao.





Sawa, umemuaga mwanangu??Basi chukua pikipiki unifate
Misago imejaa teleee sahivii,Uduguu ongezaaaaa volume puliiizz
Humu ni umbea na wambea, wanaume waliopitia jando wametulia zao huko wanamjadili Mpina. Ukiona unajibizana na mwanamke ajue ashaleft group yupo km sisi wanawake.!!![]()





Sasa hizo stresa zenu pelekeni huko, sio kuangukia wasiohusikaa.
Kwa hiyo humu Sisi ndio tuna stress, na upweke
Ila ni kweli maana, jf ndio sehem pekee ya Ku release stress![]()





Mkwe njoo unipitie nimetoka kuoga hapa navaa nakusubiriSawa, umemuaga mwanangu??
Sasa hizo stresa zenu pelekeni huko, sio kuangukia wasiohusikaa.
Kwa hiyo humu Sisi ndio tuna stress, na upweke
Ila ni kweli maana, jf ndio sehem pekee ya Ku release stress![]()





Bandama msumbufu sijui anaoga saa ngapi? Jana yy ndo alifunga mlango na Leo kaufungua, hajapata wa kumliwaza




uduguu em niwachee lolTupigiane video call, tusije kwenda tukakutana na kibabu. Selfika haieleweki hii![]()




jamaniiiiiii!!!Kumekuchaaaa!!!Wewe si unazo picha zangu ndio uwaekee sasa kuwathibitishia, halafu ushaanza kumtamani Kantry tena?? Wewe ukoje lakini? Kwann usitafute bwana wa peke yako?
Mimi kumlilia Kantry wee imekuuma?? Sasa bwana km ananikojoza vizuri why nisimlilie?? Hivi kwanza unaijua shuhuli yake?? Awwwwlazima nimlilie KAZI ANAIWEEZAAAA.!!
Wewe bwanaako humlilii?? Hakufikishi?



