Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mie na Ba tamu,
1719092588283.jpg
 
We ni mtu mmoja una ID mbili, kwa sababu kuna siku hio ID ya kantry ilituma picha yako ya ku download, halafu hii ID yako ilikuwa inajulikana kwa picha za ku download huku unaziba sura. Huyo jamaa yako siku hio alituma picha kwa niaba yako akaifuta haraka, ile picha ilikua ni ya mlimbwende flani, we uli confirm kwamba ni wewe, hali ya kuwa hio picha niliiona online na source yake.

Sasa nikawa najiluliza kama jamaa yako anakufahamu kwanini atume picha ambayo si yako na ni ya kudownload..
Anataka atuaminishe we ni mzuri sana?

Anataka kutuaminisha anatembea na mtoto mzuri?

Na kwanini afanye hivyo? je mlipanga mfanye hivyo? mkiwa na dhumuni lipi?

Au ku pretend maisha ambayo si level uliyofikia? tukuone upo juu?

Nilijiuliza maswali mengi sana na ikafika muda nikatafakari nikaona ni ujinga mtu na mpenzi wako mnakosa kazi za kufanya na kuanza ku post picha ambazo si halisi kutu fool hapa, mpaka hapo nikawa na mawili kichwani either nimtu mmoja mwenye ID mbili, ama ni mtu na mpenzi wake ambao wote wamekutana ni madiishi yameyumba.

Mnasumbuliwa na escapism, una esccape from reality, maisha yako ni magumu au you are going through a tough time so una log jf na una pretend to be someone else for a while... Fake life...

You want us to see your life is like.. and not what it actually is like.

Kama ni couple basi huna uzuri wowote una sura yako personal, au ni mtu mmoja una umekosa cha kufanya unapoteza muda wako wa thamani kufanya ujinga...


Mi nakupiga spana za kweli kweli.. na huyo bwana ako sijui ni ID yako ya pili...

Kama ni couple ya kweli oaneni nyie wote madishi, mkipata mtoto atakuwa dishi lile kubwa kabisa..
Mkuu umemaliza kila kitu!...kumbe wanadownload pics daah hii ni hatari, ndio maana wengine ukikutana nao lazima ukimbie😅
 
We ni mtu mmoja una ID mbili, kwa sababu kuna siku hio ID ya kantry ilituma picha yako ya ku download, halafu hii ID yako ilikuwa inajulikana kwa picha za ku download huku unaziba sura. Huyo jamaa yako siku hio alituma picha kwa niaba yako akaifuta haraka, ile picha ilikua ni ya mlimbwende flani, we uli confirm kwamba ni wewe, hali ya kuwa hio picha niliiona online na source yake.

Sasa nikawa najiluliza kama jamaa yako anakufahamu kwanini atume picha ambayo si yako na ni ya kudownload..
Anataka atuaminishe we ni mzuri sana?

Anataka kutuaminisha anatembea na mtoto mzuri?

Na kwanini afanye hivyo? je mlipanga mfanye hivyo? mkiwa na dhumuni lipi?

Au ku pretend maisha ambayo si level uliyofikia? tukuone upo juu?

Nilijiuliza maswali mengi sana na ikafika muda nikatafakari nikaona ni ujinga mtu na mpenzi wako mnakosa kazi za kufanya na kuanza ku post picha ambazo si halisi kutu fool hapa, mpaka hapo nikawa na mawili kichwani either nimtu mmoja mwenye ID mbili, ama ni mtu na mpenzi wake ambao wote wamekutana ni madiishi yameyumba.

Mnasumbuliwa na escapism, una esccape from reality, maisha yako ni magumu au you are going through a tough time so una log jf na una pretend to be someone else for a while... Fake life...

You want us to see your life is like.. and not what it actually is like.

Kama ni couple basi huna uzuri wowote una sura yako personal, au ni mtu mmoja una umekosa cha kufanya unapoteza muda wako wa thamani kufanya ujinga...


Mi nakupiga spana za kweli kweli.. na huyo bwana ako sijui ni ID yako ya pili...

Kama ni couple ya kweli oaneni nyie wote madishi, mkipata mtoto atakuwa dishi lile kubwa kabisa..
Wazee wa kuweka risiti.
 
We ni mtu mmoja una ID mbili, kwa sababu kuna siku hio ID ya kantry ilituma picha yako ya ku download, halafu hii ID yako ilikuwa inajulikana kwa picha za ku download huku unaziba sura. Huyo jamaa yako siku hio alituma picha kwa niaba yako akaifuta haraka, ile picha ilikua ni ya mlimbwende flani, we uli confirm kwamba ni wewe, hali ya kuwa hio picha niliiona online na source yake.

Sasa nikawa najiluliza kama jamaa yako anakufahamu kwanini atume picha ambayo si yako na ni ya kudownload..
Anataka atuaminishe we ni mzuri sana?

Anataka kutuaminisha anatembea na mtoto mzuri?

Na kwanini afanye hivyo? je mlipanga mfanye hivyo? mkiwa na dhumuni lipi?

Au ku pretend maisha ambayo si level uliyofikia? tukuone upo juu?

Nilijiuliza maswali mengi sana na ikafika muda nikatafakari nikaona ni ujinga mtu na mpenzi wako mnakosa kazi za kufanya na kuanza ku post picha ambazo si halisi kutu fool hapa, mpaka hapo nikawa na mawili kichwani either nimtu mmoja mwenye ID mbili, ama ni mtu na mpenzi wake ambao wote wamekutana ni madiishi yameyumba.

Mnasumbuliwa na escapism, una esccape from reality, maisha yako ni magumu au you are going through a tough time so una log jf na una pretend to be someone else for a while... Fake life...

You want us to see your life is like.. and not what it actually is like.

Kama ni couple basi huna uzuri wowote una sura yako personal, au ni mtu mmoja una umekosa cha kufanya unapoteza muda wako wa thamani kufanya ujinga...


Mi nakupiga spana za kweli kweli.. na huyo bwana ako sijui ni ID yako ya pili...

Kama ni couple ya kweli oaneni nyie wote madishi, mkipata mtoto atakuwa dishi lile kubwa kabisa..
Hii spana siyo poa aisee
Umechafukwa 🤣🤣🤣🤣
Nimecheka mpka nguvu za kiume zimeisha
 
0a58bbdf-94ab-4c59-84e8-16f5d3c49988.jpeg
 

Attachments

  • 2139d021-65b5-4ed8-84af-b43dd0306d6c.jpeg
    2139d021-65b5-4ed8-84af-b43dd0306d6c.jpeg
    654.4 KB · Views: 5
  • 8587de80-e38e-4339-beb5-cdb6a0aa3f61.jpeg
    8587de80-e38e-4339-beb5-cdb6a0aa3f61.jpeg
    63.5 KB · Views: 6
  • 55053754-e988-4019-9107-693b6173945c.jpeg
    55053754-e988-4019-9107-693b6173945c.jpeg
    269.9 KB · Views: 4
  • 8cc632ce-720f-485f-9781-9ec2548fc5f4.jpeg
    8cc632ce-720f-485f-9781-9ec2548fc5f4.jpeg
    151.2 KB · Views: 3
  • da5cc068-c2f1-4fe6-94cf-527ed15c29a7.jpeg
    da5cc068-c2f1-4fe6-94cf-527ed15c29a7.jpeg
    89.1 KB · Views: 6
Back
Top Bottom