Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Babu Grahams njoo, uzee dawa njoo utoe Neno labusara kuleta Amani,

Miaka Ile watu wakipishana maneno mlikuwa mnafanyaje??

Wale mabinti waliokuwa wakikunanga ulikuwa unafanyaje??
Mkuu habari za Jumapili?

Hali ya hewa inafanya Wazee tushindwe kuamka mapema 🤗

Binafsi sivutiwi sana na hali ya ukosefu wa Utulivu hapa Selfika, inaonesha Vile Wanawake walivyowagumu ku-move on baada ya breakup n.k

Wangejifunza Kwa sisi Wanaume, tunaweza kushea binti lakini tukapiga kimya kama vile hakuna kilichotokea.

Nakumbuka Mwaka 47 Kuna binti mmoja nilikuwa niki-date, nadhani kutokana na changamoto ya Uzee wangu huu huenda nilikuwa simpelekei moto vya kutosha, hivyo Kwa Siri akawa anatoka na Kijana mmoja wa Umri wake.

Nikaja kujua baada ya wiki moja ya mahusiano yao ya Siri. Nilivyo na kifua, sikuweza kumuuliza yule Binti(Mpenzi wangu) Wala yule Kijana mwizi wa Mali ya Babu japo tulikuwa tukikutana mtaani kunywa kahawa ama kucheza bao Kwa Mzee Azizi pamoja.

Sikuwahi kumchukia yule Kijana Wala kuacha kupeana naye Mikono akinisalimia....
 
IMG_20240619_211035_715.jpg

Najua Kuna watu watabisha hapa kwamba hii picha sio ya Mwaka 47 🤗

Hello Sunday 🥂
 
Back
Top Bottom