KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 35,750
- 86,386
kumbe kitutufe hivi...😃
kumbe kitutufe hivi...😃
Umejitahidi mwenyewe kutafuta kiki ila muda wa kukupa sina.!! Eti warembo khaaa 🤣🤣🤣Mkuu 100 others mbona umechelewa kujua kuwa Lamomy ni lababa ni mwanaume huyo.Punga hilo .
Ngoja nitafute ule uzi watu walifunguka kuwa hili jamaa ni punga ndo mana wale warembo wote walikua kampani yake wamemkimbia kabaki kutembelea nyota ya Coca.Bila coca huyu lababa hatoboi😁😁
Muwe mnaomba picha kabla ya kufall in love...!😂🤸kumbe kitutufe hivi...😃
sijaamini hebu leta nyengine...😂Muwe mnaomba picha kabla ya kufall in love...!😂🤸
Situmi tena! Mwenzako humu najitupia sana wote wanajua mimi ni kibonge ulibaki mwenyewe tusijaamini hebu leta nyengine...😂
zawadi ya mwisho sasa kiduchu tu...😃Situmi tena! Mwenzako humu najitupia sana wote wanajua mimi ni kibonge ulibaki mwenyewe tu
nilaze na upicha mmoja tu!Fanya ulale
Kumbe ndio ujinga wanaolishana basi pole yao.!! Karma imenikuta?!! Karma ipi? Wameona hata mwili hapa?? Hiyo karma ilimkuta mwenyewe kwa kusema watu uko pm, nimwambie tyuu haiwezi kumuondelea maumivu yaliyotokea yametokea na wananzengo tumeona, hii kubadili id kujileta na kujichekesha haitompa relief yoyote. Kikubwa akung’ute vumbi makalioni asonge mbele..!!KARMAAAAA!!!!!
ujumbe nimeupataaa, kuwa karma itamkuta yeyote aliyemfanyia ubayaa mwenziee!! Na mnasema m1 tayariii imeshamfikiaa, bado mie kubwa la maadui, na mnasubiri sana hiyo siku ifikee!!!
Kwanzaa nichekeee,
Hivi kwangu mie kuna lipi jinginee ambalo likinikutaa humu litalinitishaaa? Afu mbona mie sijaona km kuna karma yoyote ile, na inahusiana vipi?au mie ndo sielewiii?
Mnaijua karma au mnaisikiaaa? Sasa ni hivii kabla hiyo Karma haijanikuta basi huyo mtu ubaya utamkuta yeye kwani km itakua ni marudio mie sijui na hainihusu kwani.
Ifike hatua mkiingia JF ya humu muyaache humu, na ya uraiani muyaache huko huko, sio mara 1 wala 2 nasikia malalamiko ooooh coca mbayaaa, cocaa vilee, nyie waja em mniache kwani, huko PM mkae vizuri, mkitaka kujua zaidi msemee muambiwee.
Hivi mbona sijafanya baya lolote, kuukataa unafiki ndo kosaa? Wengine tumeshakua hivyo nyeupe ni nyeupe na nyeusi ni nyeusi, hakuna kijivu wala rangi ya maziwa,
Mnalazimisha sanaa niukwaee ugomvi kwa nguvu, afu mbona mie sitakii? Si nilipigwa ban hapa baada ya kutoa hints kuwa nakuja na mie na utetezi wangu, sasa ubaya nimefanya mda gani na upi kwani?
Km ni kuhusu kuumbuana na kutumwa picha za uchi, siku mlipuko unatokea sikuwepo maskini, nakuja nakuta uzi umefungwa, na mie nimezuiwa ku comment, waliohusika walipigwa ban ya jumlaa, baada ya mie kuhamia uzi wa umevaa nn leo kuswampa kidg kuuliza waja kulikoni si ndo nikapigwa ban ya jumlaaa? Sasa kosa langu ni lipiii?
Hiyo karma ya karagwe labda ndo itanikuta, ila sio hii nayoijua mie, sijafanya baya na sihitaji kufanya hivyoo, uwezo ninao ila nilizuiwa si mmewaambia modes kuwa nikifukunyua mie njegeka kuhusu hilo wanifute JF mazimaa? Si mnajua kuwa files zotee ninazoo, na ninazo toka season 1 had 4,
Naombaa mgange yajayoo, yaliyopita si ndwelee, sana mjitathimini na mjitaFakari wapi mlianguka ili msijikwaee tenaaa! Mambo ya drama na futuhi huko PM mnajichoshaaa, hakitabadilika kitu, ilishatokea imetokeaa imeishaa hiyooooo!!!
Poleeeeni sanaaa kwa masaibuuu! Aibu na fedheha humkuta binadamu wala sio mnyama au mdudu.Amani na Furaha iwe kwenu km mwanzoooo!!!!
Ameeeeeeeen!!!!!
Situmi tena! Mwenzako humu najitupia sana wote wanajua mimi ni kibonge ulibaki mwenyewe tu





Unafkir sisomagi biblia? Sema ni miaka hii tu maisha yananipeleka mwendo wa ngiri.....makuzi yangu yote yalikua ya kiimani sanayani nipo nawewe popote ulipo 😁😁utazoea tu kusoma bible
ulikiri kwa mwandiko wako kua hua unasoma j2 tena ukienda kanisani,,,soooooo tulia apoUnafkir sisomagi biblia? Sema ni miaka hii tu maisha yananipeleka mwendo wa ngiri.....makuzi yangu yote yalikua ya kiimani sana
Miaka hii tu lkn zamani nlikuwa vzr kwel kwelulikiri kwa mwandiko wako kua hua unasoma j2 tena ukienda kanisani,,,soooooo tulia apo
unajua kwamba unaangaliwa mwisho na sio mwanzo!?Miaka hii tu lkn zamani nlikuwa vzr kwel kwel
Sometimes maisha ya kiimani magumu sana ntajizuia kufanya hiki vingine ntashindwa kujizuia ndo maana mda mwngn naona bora niende full marginsunajua kwamba unaangaliwa mwisho na sio mwanzo!?
ni kweli ila punguza tu makaliSometimes maisha ya kiimani magumu sana ntajizuia kufanya hiki vingine ntashindwa kujizuia ndo maana mda mwngn naona bora niende full margins
Tulia hapo hapo sweetheart...Walleee twaruka priiiiiiiihhhh 🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🕺🕺🤸🤸🤸🤸🤸🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺
Bebebebebeibeeeeeeeeeeee
Naombapo unibles kaforo kako kwani 😛😛
Sawa love Here waiting sitokiiiiiiiii🙇🙇🙇🙇😊Tulia hapo hapo sweetheart...