Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwa jina la yesu nabariki hili group la selfika lianze Kwa Amani siku ya Leo.

Naenda kinyume na roho za makwazo, wivu chuki na umbea.

Naachilia damu yesu itamalaki humu watu waishi Kwa upendo.

Ameen

Ameen
Amen πŸ™πŸ™πŸ™
 
Mkuu habari za Jumapili?

Hali ya hewa inafanya Wazee tushindwe kuamka mapema πŸ€—

Binafsi sivutiwi sana na hali ya ukosefu wa Utulivu hapa Selfika, inaonesha Vile Wanawake walivyowagumu ku-move on baada ya breakup n.k

Wangejifunza Kwa sisi Wanaume, tunaweza kushea binti lakini tukapiga kimya kama vile hakuna kilichotokea.

Nakumbuka Mwaka 47 Kuna binti mmoja nilikuwa niki-date, nadhani kutokana na changamoto ya Uzee wangu huu huenda nilikuwa simpelekei moto vya kutosha, hivyo Kwa Siri akawa anatoka na Kijana mmoja wa Umri wake.

Nikaja kujua baada ya wiki moja ya mahusiano yao ya Siri. Nilivyo na kifua, sikuweza kumuuliza yule Binti(Mpenzi wangu) Wala yule Kijana mwizi wa Mali ya Babu japo tulikuwa tukikutana mtaani kunywa kahawa ama kucheza bao Kwa Mzee Azizi pamoja.

Sikuwahi kumchukia yule Kijana Wala kuacha kupeana naye Mikono akinisalimia....
Somo zuri saana,

Hakika mliishi kwenye Zama njema, Sisi tupo na GenZ ya Tanzania, balaaa tupu. Bora Ile GenZ ya kenya
 
Ya moyoni mtu hawezi kusema labla mhusika awe malaya asiye jali lolote we unafanya masihara kipapa live kiwe Jf 😁😁
Mi na hasira zangu hizi najiuwa kwa kweli
🀣🀣🀣🀣🀣 Nuzu ntakuchapa niache.
Hii selfika modes wameizila na wameichoka na vimbwanga vyake.!!

Sasa wifi kwann ujiue? Si utakuwa unajikosea nafsi yako. Kwani tutakujua? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom