Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 10,547
- 22,982
nipo naangalia kix 🥲🥲Mi kama mpira upo naweza kesha
nipo naangalia kix 🥲🥲Mi kama mpira upo naweza kesha
We kidampaaaa utaacha na kuachika mpaka usemeeee
Atakula jeuri yake😂😂😂 mpare bahili huyo
Ww mtoto wa shangaz kumbe upo,,Hebu kuja nyumban kwangu tutanianeCazeee ake huyooo!!!![]()
Wanaojificha huwa wanakuwa wamezaliwa kwenye familia za maninja au wale maalakhaidaMwanaume HB jf nzima 😍😍😍
Unapita naked sio shida zako, hakuna kujificha KIDUME S KIDUME cha mwandiga hiko 😜
Coca cazee wako kashafika huku
Bff huyo Mbaga mimi simtaki, siwapendi wapare wachawi na visirani sana 🤣🤣Atakula jeuri yake
Karibu kanisani kwetu 😂Ninong'onezeee bas uduguuuu!!!
😂😂😂😂 hatareeee
Hawana mvuto wa kiume 😂😂😂Wanaojificha huwa wanakuwa wamezaliwa kwenye familia za maninja au wale maalakhaida
Nakujaaa cazee akeeWw mtoto wa shangaz kumbe upo,,Hebu kuja nyumban kwangu tutaniane




Uduguuu karangi pambee 😍😍😍😍Lamomy uduguu naomba nitengenezee wix ya kienyeji nitoe sugu za magoti.
Au unatakaa ung'aree pekee ako tyuuh?View attachment 3021739
Uduguuu karangi pambee
Mtoto mkaree unang’aa km kioo, uduguu wangu lizuriii bana mwahmwah
Toto la Songea uko vyedii sanaaaaaa
Hilo halina ubishi miaka buku unakimbiza. Huhitaji wix, ww unahitaji raha za ba tamu




uduguuu em nitengenezee wix bhanaaa..




Hapana wix achana nayo uko 👌uduguuu em nitengenezee wix bhanaaa..
Ba tamu nimemcharuaa leo, anasemajee nakufata huko huko kwako, nkamuambia njoo nikuitie mwiziii.
Bas ex kijana wa JF, anahaha huyooo, noumaaaah
Hapana wix achana nayo uko
Sasa ba tamu umemcharua nini?? Tatizo tuna gubu sana familia yetu
Na akija atakuzagamua mpk utafute feni likupulize
Kwahiyo kijana wa jf naye anaumendea mzigo?




yaani mie nisipo mchokoza ba tamu sijisikii raha, huwa namuambiaga mie sipendi amani, vita vita ndo nataka.




yaaan full tafraniiiiMapenzi ya kugombana, kutoleana shits, kununiana, kulambana block, asikwambie mtu matamu sana..!! Halafu kwenye ugomvi ndio mtu anakwambia kasoro zako kweli lazima upanic 🤣🤣🤣🤣🤣yaani mie nisipo mchokoza ba tamu sijisikii raha, huwa namuambiaga mie sipendi amani, vita vita ndo nataka.
Leo mchana nkaanza kumcharua kimasikhara, sasa kuna neno alinambia lilinitibua, nisianze kumpa kichambo cha serious.
yaaan full tafraniiii