Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,235
- 86,948
Sis mbona usiku wote huu? Shem umemuacha na nani? 😂😂😂Nyie watu hamjambo. Chat na picha hata kama ... kabati 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sauti inatosha? 🎤
Sis mbona usiku wote huu? Shem umemuacha na nani? 😂😂😂Nyie watu hamjambo. Chat na picha hata kama ... kabati 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sauti inatosha? 🎤
Sawa love, pm yangu ipo wazi incase ukitaka kunitumia namba 😎Pole basi ulale unono mahi lavu
Nimemuacha 🤣🤣🤣🤣🤣 napenda kuwa single dada yako.Sis mbona usiku wote huu? Shem umemuacha na nani? 😂😂😂
😂😂😂 sawa mahi lavu, lipa namba. Unga wa mbwa umeisha, na dada mwezi huu jukumu lako kumlipa mshahara.!!Sawa love, pm yangu ipo wazi incase ukitaka kunitumia namba 😎
Weeeh.!! Mbona ghafla?? Nawe ushaaga mashindano?? Basi familia yetu tuna gubu 😂😂😂Nimemuacha 🤣🤣🤣🤣🤣 napenda kuwa single dada yako.
🔥🔥🔥😂😂😂 sawa mahi lavu, lipa namba. Unga wa mbwa umeisha, na dada mwezi huu jukumu lako kumlipa mshahara.!!
Tena gubu lisilo na tiba mdogo wangu. Tutakaa bia wanaume...Weeeh.!! Mbona ghafla?? Nawe ushaaga mashindano?? Basi familia yetu tuna gubu 😂😂😂
Ndiomana tunaitwa “wapweke” 😂😂😂🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️Tena gubu lisilo na tiba mdogo wangu. Tutakaa bia wanaume...
Mapenzi ya kugombana, kutoleana shits, kununiana, kulambana block, asikwambie mtu matamu sana..!! Halafu kwenye ugomvi ndio mtu anakwambia kasoro zako kweli lazima upanic
Ngoja nikamchokoze honeyyy wangu kwanza, nilimlamba block ngoja nimu unblock nimchefue kidogo afu namlamba block nyingine.!! Hakuna amani hapa.!!
Last time aliniambia neno lilinichefua hata alivyompigia simu dada anipe simu nilimgomea kuongea naye![]()




nyie ba tamu nikimtibua huwa ananipa neno 1 nanywea maji, hapo ntaanza kumchamba yeye had atachukia.


mapenzi yanataka heka heka.Kama kwel wewe mtoto wa shangaz kitumbua niletee mala moja tu




wee cuzooo eti nn?🤣🤣🤣 habari ndio hiyo
Ulishawah taniwa na kutekenywa na rungu ambalo haliumiz





cazeee leo umekulaa nn?Wehhhh cazee wa coca mbona kavu hivyo.!!!
Haya coca unaitwa upeleke kitafunwa, mi nikalale hii comment imenichosha![]()





uduguuuu jamaniiiii, cpati picha umecheka vipi hapooo, woiiiiiiihNaelekea kukata tamaa 😔🤣🤣🤣 habari ndio hiyo




nachekaa km chiziii hapaaa, mweeeehjeuri ya kuniblock mimi uitoe wapi? Mi nishakuwa kilevi chako.!!





hivi nyie mko serious? MsinichekesheeeTubless wee dear leo,Nyie watu hamjambo. Chat na picha hata kama ... kabatisauti inatosha?
![]()

