Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mapenzi ya kugombana, kutoleana shits, kununiana, kulambana block, asikwambie mtu matamu sana..!! Halafu kwenye ugomvi ndio mtu anakwambia kasoro zako kweli lazima upanic [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ngoja nikamchokoze honeyyy wangu kwanza, nilimlamba block ngoja nimu unblock nimchefue kidogo afu namlamba block nyingine.!! Hakuna amani hapa.!!
Last time aliniambia neno lilinichefua hata alivyompigia simu dada anipe simu nilimgomea kuongea naye [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie ba tamu nikimtibua huwa ananipa neno 1 nanywea maji, hapo ntaanza kumchamba yeye had atachukia.

Kuna siku nilijichanganya afu tulikua wote Pa1, nilipewa kelbu ya shavu, nililia ile siku, sikumsamehe had alipooni pooza na ka farangaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mapenzi yanataka heka heka.
 
Wehhhh cazee wa coca mbona kavu hivyo.!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Haya coca unaitwa upeleke kitafunwa, mi nikalale hii comment imenichosha [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuuu jamaniiiii, cpati picha umecheka vipi hapooo, woiiiiiiih
 
Back
Top Bottom