Ntiluseswa
JF-Expert Member
- Oct 22, 2021
- 670
- 2,278
Kama kwel wewe mtoto wa shangaz kitumbua niletee mala moja tuCazeee ake!! Handsome boe!!
![]()
Kama kwel wewe mtoto wa shangaz kitumbua niletee mala moja tuCazeee ake!! Handsome boe!!
![]()
Mvuto wenyewe wa marungu wanaoHawana mvuto wa kiume 😂😂😂
Wehhhh cazee wa coca mbona kavu hivyo.!!! 🤣🤣🤣🤣🤣Kama kwel wewe mtoto wa shangaz kitumbua niletee mala moja tu
Tafadhal lejea maneno tajwa hapo kwenye hiyo sms,,Wehhhh cazee wa coca mbona mkavu hivyo.!!! 🤣🤣🤣🤣🤣
Haya coca unaitwa upeleke kitafunwa, mi nikalale hii comment imenichosha 😂😂😂
Mdaka machoziMapenzi ya kugombana, kutoleana shits, kununiana, kulambana block, asikwambie mtu matamu sana..!! Halafu kwenye ugomvi ndio mtu anakwambia kasoro zako kweli lazima upanic 🤣🤣🤣🤣🤣
Ngoja nikamchokoze honeyyy wangu kwanza, nilimlamba block ngoja nimu unblock nimchefue kidogo afu namlamba block nyingine.!! Hakuna amani hapa.!!
Last time aliniambia neno lilinichefua hata alivyompigia simu dada anipe simu nilimgomea kuongea naye 🤣🤣🤣🤣
😔Ngoja nikamchokoze honeyyy wangu kwanza, nilimlamba block ngoja nimu unblock nimchefue kidogo afu namlamba block nyingine.!! Hakuna amani hapa.!!
Chino, unaibukaga km mafuriko 😂😂😂Mdaka machozi
naye ana moyo
😂😂😂😂 Ila inachekesha banaUsijibu hizo comment bhana 😔
😂😂😂😂 usijali mtu mwenyewe yuko zake abroad, muda huu anajiandaa kwenda job.
Unajua kuna time nshawaza kukublock ili nisione comment zinazoniboa ila ndo hvy Siwez tuu yn😂😂😂😂 Ila inachekesha bana
We si unajificha banaChino, unaibukaga km mafuriko 😂😂😂
😂😂😂😂 jeuri ya kuniblock mimi uitoe wapi? Mi nishakuwa kilevi chako.!!Unajua kuna time nshawaza kukublock ili nisione comment zinazoniboa ila ndo hvy Siwez tuu yn
😂😂😂 poleWe si unajificha bana
Mpaka chino nimedandia tashrif.
Uko sahihi, na Siwez ht kukasirika kwa Comments zako ambazo sizipendi ila ntakuambia tuu😂😂😂😂 jeuri ya kuniblock mimi uitoe wapi? Mi nishakuwa kilevi chako.!!
Pole basi ulale unono mahi lavuUko sahihi, na Siwez ht kukasirika kwa Comments zako ambazo sizipendi ila ntakuambia tuu