Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nikitembea na mama wanajua ni mtu na mdogo wake sababu ya mwili wangu
Nilivyokua sekondari na advance watu walikua wananibully na umbo langu ila tokea nimejikubali mambo yameninyookea sijali maneno ya watu kama nyie!

Haina haja ya kuwa na wasi wasi na maneno ya watu. Na hii ndio kauli mbinu yangu siku zote, usikubali, mtu yeyote, kitu chochote au Hali yoyote ikakufanya ujione duni.

Kama umewahi shuhudia mtu amekufa Kwa maneno au maoni ya watu nikumbushe tafadhali, lakini Mimi Hadi mvi zimetapakaa kichwani bado sijabahatika kuona mtu wa aina hiyo.
 
Haina haja ya kuwa na wasi wasi na maneno ya watu. Na hii ndio kauli mbinu yangu siku zote, usikubali, mtu yeyote, kitu chochote au Hali yoyote ikakufanya ujione duni.

Kama umewahi shuhudia mtu amekufa Kwa maneno au maoni ya watu nikumbushe tafadhali, lakini Mimi Hadi mvi zimetapakaa kichwani bado sijabahatika kuona mtu wa aina hiyo.
Tajiriiiiiiiiiii! Mmeshafika wawili wewe na raraa reree mmeniambia maneno mazuri nimepata faraja
Nilikua najiona duni zamani ila siku hizi nipo good mimi ni mzuri sababu nina miguu huku wengine ni viwete nina macho wakati wengine ni vipofu
 
Nilifanya diet lakini nilizidi tu kunenepa nimeamua nile ninavyojisikia
Kula unavyoweza ndugu yangu, zingatia mambo ya afya tu lakini sio kujinyima upungue mwili.

Fanya mazoezi Kwa afya pia ila usijishurutishe kupungua ufurahishe watu.

Kama unene haukuletei matatizo kwenye afya Yako, kwanini ujiongezee stress zisizo na ulazima?

DJ turudishe kwenye viti na kitu Cha TI "Live your life"
 
Kula unavyoweza ndugu yangu, zingatia mambo ya afya tu lakini sio kujinyima upungue mwili.

Fanya mazoezi Kwa afya pia ila usijishurutishe kupungua ufurahishe watu.

Kama unene haukuletei matatizo kwenye afya Yako, kwanini ujiongezee stress zisizo na ulazima?

DJ turudishe kwenye viti na kitu Cha TI "Live your life"
Mungu azidi kukupa mafanikio boss wangu The Monk
Wewe una moyo mzuri sana
 
Back
Top Bottom