The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,318
- 46,060
Nikitembea na mama wanajua ni mtu na mdogo wake sababu ya mwili wangu
Nilivyokua sekondari na advance watu walikua wananibully na umbo langu ila tokea nimejikubali mambo yameninyookea sijali maneno ya watu kama nyie!
Haina haja ya kuwa na wasi wasi na maneno ya watu. Na hii ndio kauli mbinu yangu siku zote, usikubali, mtu yeyote, kitu chochote au Hali yoyote ikakufanya ujione duni.
Kama umewahi shuhudia mtu amekufa Kwa maneno au maoni ya watu nikumbushe tafadhali, lakini Mimi Hadi mvi zimetapakaa kichwani bado sijabahatika kuona mtu wa aina hiyo.


