Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 10,547
- 22,982
Bantu Lady na Lamomy njoen mnichokoze basi,,nna vichambo vipya vinanchanganya apa
Hapa kati ulikua upo likizo jf? Sababu nimeanza kukuona wiki hii
Sina la nyongeza nimekuelewa TajiriiJF ni sehem ya maisha yangu. Mtandao pekee niliyonayo na nnatumia muda wangu mwingi kupitapita kupata Elimu, kufurahia na pia kuona Dunia inaendaje.
Kuna kipindi nna kua mwingi na wakati mwingine napotea kidogo. Lakini sijawahi kuchukua likizo maalum JF.
Nafikiri nimejibu ipasavyo, naruhusu maswali ya nyongeza kama yapo au kama unahitaji ufafanuzi zaidi Tajiri.
🤣🤣🤣 Unataka vya bure umeambiwa binamu zako hao?Nikishaskia hela tu nakumbuka jkt walikua wanasema 'sifa wepesi'
Wifi Ulifichwa wapi? Haya utuchambe ili ugundue nini?? Kwanza selfika ndio uendelee na vichambo 😂Bantu Lady na Lamomy njoen mnichokoze basi,,nna vichambo vipya vinanchanganya apa
Kausha bobuPunguza kidogo mwendo kiongozi...naamini una uwezo mkubwa tu na sio afya kuwatweza wengine. Be gentle please
we umetumwa na kakako umtaftie mke,,unavokomaa na kutaka picha angu🤣Wifi Ulifichwa wapi? Haya utuchambe ili ugundue nini?? Kwanza selfika ndio uendelee na vichambo 😂
kifutu wewe🤣🤣🤣SaraKasi utapiga Kwa emoji tuu🤣🤣🤣Weuweeeeeeeeeee!!!😂🤸🤸🤸🤸
Tuone km yaliyomo yamo? 😂😂😂we umetumwa na kakako umtaftie mke,,unavokomaa na kutaka picha angu🤣
mmbea huyo anataka ajipime kwako kama anaingia marangapiwe umetumwa na kakako umtaftie mke,,unavokomaa na kutaka picha angu🤣
mxiuuu ka zuzu vile🤣kazi tu kunisambaza kwa kaka zakoTuone km yaliyomo yamo? 😂😂😂
Kaka yangu Mpaji Mungu ndo chaguo lako na mmependezana
Una kitu wifi na ndio vitu wanapenda kaka zangu we kimoka mwajuma 🤣🤣🤣🤣mxiuuu ka zuzu vile🤣kazi tu kunisambaza kwa kaka zako
Amani boss wangu.Mbona hata sie tuna madeni na tumechagua kufurahia maisha bila kuvurugia amani wengine?
Kila mmoja akileta hapa mambo yake patakalika kweli?
Tuache amani na upendo vitawale.
Ukiona mtu kama anataka kwenda tofauti, unampisha tu aendelee.
Mimi na wewe hatuchekanikifutu wewe🤣🤣🤣SaraKasi utapiga Kwa emoji tuu🤣🤣🤣
gani iko ebu nisanue🤣🤣🤣Una kitu wifi na ndio vitu wanapenda kaka zangu we kimoka mwajuma 🤣🤣🤣🤣
Binamu wanatoa free mtelezo?🤣🤣🤣 Unataka vya bure umeambiwa binamu zako hao?
Hanitaki huyo.....acha nahangaike na zle sajili za namba E plus container jipya linaenda kumwaga mtaaani kutoka chuoTuone km yaliyomo yamo? 😂😂😂
Kaka yangu Mpaji Mungu ndo chaguo lako na mmependezana
Mimi ni tall dark and gentlemen.kubali tuu uje geto nikutengenezee shepu nzuriMimi na wewe hatuchekani
Mimi kibonge kifutu lakini unajisahau wewe ulivyo una ka mwili kaadogo siku ile umeselfika sikuona muscle hata moja hata ndevu huna wakati mwanaume unatakiwa uwe na misuli mwili hautakiwi kulegea kama wako
Mimi nipungue na wewe kaza mwili huooo🤸
Selfikaaaaa! Acha maneno weka picha yakooo😂🤸Mimi ni tall dark and gentlemen.kubali tuu uje geto nikutengenezee shepu nzuri
mwanaume kujipiga picha niushambaSelfikaaaaa! Acha maneno weka picha yakooo😂🤸