cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,297
Dear!! Mie sio mnafikii.Haya ndio mambo sasa!
Msiniambie maneno ya kuninyon'gonyesha mwenzenu najisikia vibaya![]()
Naomba usiwe unavaa magauni au sketi. Uwe unavaa trauzaa tyuu ndo zinakutoaa balaa na hilo umbo hatariiiii.








