Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Dear!! Mie sio mnafikii.
Naomba usiwe unavaa magauni au sketi. Uwe unavaa trauzaa tyuu ndo zinakutoaa balaa na hilo umbo hatariiiii.
Asante kwa ushauri!
Ila siwezi kuacha kuvaa sketi na magauni nipitwe na fashion

Hata wewe mtu akikwambia usivae kimini kisa una vigimbi usimsikilize jikubali mtoto wa kikee
 
Nikitembea na mama wanajua ni mtu na mdogo wake sababu ya mwili wangu
Nilivyokua sekondari na advance watu walikua wananibully na umbo langu ila tokea nimejikubali mambo yameninyookea sijali maneno ya watu kama nyie!
Ishi maisha yako dear!!
Sasa JKT kwa mujibu hukupata shidaa jamaniii?
 
Back
Top Bottom