Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mbona umeachwa ghafla hivyo Mjukuu [emoji12]?

Mwambie Mkwe ili akuache aitishe watu wote tuliohudhuria harusi yenu ndiyo akuache. Hivi hivi tunajua bado upo naye [emoji12]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mjep njoo ujibu hapaa
 
raraa reree fanya chap[emoji1732][emoji23]
Wee ephen_ leo umetaka watu tuchekee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hili si pipa au simtank la 5000litres.

Wee hauko serious nshajua, khaaaah. Mbavu zinauma kwa kuchekaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wee ephen_ leo umetaka watu tuchekee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hili si pipa au simtank la 5000litres.

Wee hauko serious nshajua, khaaaah. Mbavu zinauma kwa kuchekaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi unaanzaje kumwambia mwenzako ni simtank?
Unadhani najisikiaje baada ya kusoma huu ujumbe wako? Nikijinyonga je?
 
Wee ephen_ leo umetaka watu tuchekee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hili si pipa au simtank la 5000litres.

Wee hauko serious nshajua, khaaaah. Mbavu zinauma kwa kuchekaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu amesema ukweli yupo kama wale sumo tena hapo kawahurumia sana ,namjua vizuri mno.
 
Back
Top Bottom