Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,268
- 87,051
Leteeee wanune mi sipendi amani kabisaa.!! 🤣🤣🤣nakujaaa nayoo nikiwa nimelipukaaa.
Leteeee wanune mi sipendi amani kabisaa.!! 🤣🤣🤣nakujaaa nayoo nikiwa nimelipukaaa.
Shukrani Mkuu. Japo ntajipatia kesi ya mauajiHatari kiatu kiko 👌
Hilo ukikanyaga nyoka lazima aage dunia
Alindwe watamuiba 🤣🤣🤣Hongera Mjukuu, kusema kweli ulipendeza sana kwenye huo mtoko 🤗
Ingekuwa enzi zangu, ningekupa Ulinzi hadi unapokwenda ili kuepusha nisiibiwe maana najijua Kwa Wivu 😜🙌
tamba tamba uduguu muda wako huu.!! Hii ba tamu ndio ilikuponza ukaachika na boss
![]()




uduguuu, afu hamna, mbna boss alikua anajua.




Hilo tutaongea hapa watu wengi🤸Mimi nataka nikuzingatie hivyo hivyo wembamba nitaukuta mbele huko 😄
Hongera Mjukuu, kusema kweli ulipendeza sana kwenye huo mtoko
Ingekuwa enzi zangu, ningekupa Ulinzi hadi unapokwenda ili kuepusha nisiibiwe maana najijua Kwa Wivu![]()




babuu nimechekaaa sanaaa😍😍😍 Una viatu km vya ex wangu 😜Shukrani Mkuu. Japo ntajipatia kesi ya mauaji
View attachment 3020156
Amani itokee wapiii? Mbona shetty hajatuzoea hivii,Leteeee wanune mi sipendi amani kabisaa.!!![]()




Basi tuishie hapo...nimeongezea na vingine.😍😍😍 Una viatu km vya ex wangu 😜
😂😂😂😂 Kwanza tukadai vyombo vyetu uduguu.!!! Ila waja wakakuharibia husiano lakouduguuu, afu hamna, mbna boss alikua anajua.
Yeye si ana mke na michepoz ya kuwanunulia vyombo dinner set.
Wee umesahau?![]()
Punguza sarakasi sasa maongezi lini 😁😋Hilo tutaongea hapa watu wengi🤸
Mkuu nipe tips za kupunguza kitambi ila isihusishe dietTo a man who hasn’t worked out and is not planning working out today!!😌
WHY ARE YOU GAY?🤔
Amani kwiyoo 😂😂Amani itokee wapiii? Mbona shetty hajatuzoea hivii,![]()
Subiri nimalize kula pilau la iddi nakurudia tupange mambo yetuPunguza sarakasi sasa maongezi lini 😁😋
Kwanza tukadai vyombo vyetu uduguu.!!! Ila waja wakakuharibia husiano lako




waliona nafaidi mnoo, ila uduguu nina nyotaa, boss nilikua nae winzaa winzaa, afu hakunificha km bangi, aliniweka wazi kwa umma km almasi.




😍😍😍 Uko sex
Hahaha...........mwambie aharakishe mchakato maana waswahili walisema "ngoja ngoja atakuta mwana si wake"😜🤣🤣🤣🤣 Subiri kwanza muoaji apatikane, kuna Mangi mmoja mkusanya ushuru namsikilizia
Embu tupia nyingine nikikusubiria umalize hilo pilau lako 🤗Subiri nimalize kula pilau la iddi nakurudia tupange mambo yetu
Amani kwiyoo
Tuendelee udugu tupia yako sasa ile ya kinjunga, udugu yukwapi atuoneshe hipus nimemiss kweli




uduguuu nimechekaaa balaaa, km chiziiiii.