Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

waliona nafaidi mnoo, ila uduguu nina nyotaa, boss nilikua nae winzaa winzaa, afu hakunificha km bangi, aliniweka wazi kwa umma km almasi.

Watu weuweeeeeee!!!! Nina nyotaaaa bhanaaaa,
Raha ya kupendwa usifichwe, uduguu uliweza.!! Hafu uduguu zangu wote hamfichwagwi buanaaa wapi mama mio 😂😂😂🤣 mmeweza, mpk mmewezaa tena
 
Raha ya kupendwa usifichwe, uduguu uliweza.!! Hafu uduguu zangu wote hamfichwagwi buanaaa wapi mama mio mmeweza, mpk mmewezaa tena
uduguu Nina kitu, na mbali nimeshafika tayariii.

Nyie hamuogopiiiiii? Woiiiiiih
 
babuu nimechekaaa sanaaa
Kusema kweli natakiwa nipunguze Wivu tu kwenye huu Umri wa Uzee maana vinginevyo Presha itaniua Babu yenu.

Mwaka 47 wakati Nchi ikiwa haina Maji ya uhakika, Bibi yenu alidamka saa 10 alfajiri kwenda kufata Maji korongoni huku Mimi nikiwa nimelala.

Kusema kweli nilijua wamemwiba live live, anakuja kurudi saa 3 asubuhi na ndoo ya Maji kichwani 🙌

Ingekuwa ndiyo Vijana wa miaka hii mbona wangekuwa wamegawana majengo ya Serikali 🤗
 
Back
Top Bottom