cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,301
Raha ya kupendwa usifichwe, uduguu uliweza.!! Hafu uduguu zangu wote hamfichwagwi buanaaa wapi mama mio 😂😂😂🤣 mmeweza, mpk mmewezaa tenawaliona nafaidi mnoo, ila uduguu nina nyotaa, boss nilikua nae winzaa winzaa, afu hakunificha km bangi, aliniweka wazi kwa umma km almasi.
Watu weuweeeeeee!!!! Nina nyotaaaa bhanaaaa,![]()
To a man who hasn’t worked out and is not planning working out today!!
WHY ARE YOU GAY?![]()



jamaniiii kwann lakiniii?Lazima ihusishe diet, huwezi kwepaMkuu nipe tips za kupunguza kitambi ila isihusishe diet
😂😂😂😂 We muache ntaibiwa kwa wahaya abaki analiaHahaha...........mwambie aharakishe mchakato maana waswahili walisema "ngoja ngoja atakuta mwana si wake"😜
Raha ya kupendwa usifichwe, uduguu uliweza.!! Hafu uduguu zangu wote hamfichwagwi buanaaa wapi mama miommeweza, mpk mmewezaa tena





uduguu Nina kitu, na mbali nimeshafika tayariii.Weweeee uduguu pambee 😂😂😂😂uduguuu nimechekaaa balaaa, km chiziiiii.
Ni marufuku kupita siku hujafanya mazoezijamaniiii kwann lakiniii?
Vibaya mno mtoto km uwaridi unavutia 😂😂😂😂em sema kweliiii,
Vibaya mno mtoto km uwaridi unavutia![]()




uduguuu mie nachekaa hadi napaliwwaaa.Ww ushafika na hakuna wa kukushusha 😂😂😂uduguu Nina kitu, na mbali nimeshafika tayariii.
Nyie hamuogopiiiiii? Woiiiiiih
Em sema kweliii?Ni marufuku kupita siku hujafanya mazoezi





Kwanza umuogope nani?? 😂😂😂Siogopiiii![]()
Uduguu hapo ba tamu anajilamba mpk anajing’ata 😂😂😂uduguuu mie nachekaa hadi napaliwwaaa.
Oyooooooo.!!! 😂😂😂Watu weuweeeee!!!!![]()
😂😂😂 tupia nyingine banaBasi tuishie hapo...nimeongezea na vingine.
Kusema kweli natakiwa nipunguze Wivu tu kwenye huu Umri wa Uzee maana vinginevyo Presha itaniua Babu yenu.babuu nimechekaaa sanaaa