Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,849
- 57,527
Hahaha..............ni Audemars Mkuu japo ni toleo la Mwaka 47Babu hiyo saaa ni Audemars piguet au ni macho yangu ?
Hahaha..............ni Audemars Mkuu japo ni toleo la Mwaka 47Babu hiyo saaa ni Audemars piguet au ni macho yangu ?
Nimefanya nn😂mchumbaa wee muongo,
Hahaha.............hiyo Ndoa yenu Wazee tunajua bado ni hai 🤗
Yeep time yako badoBasi! Nitabaki na kitambi changu
Hizo saa makini mno , wewe ni mtu makini.Hahaha..............ni Audemars Mkuu japo ni toleo la Mwaka 47
umemcharua nani tena uduguu!!
Uduguu una mikwara khaaaa!!



uduguuu nishavurugwaa hapa, sasa wajichanganyee niwasebenzuee.
😂Nimecheka sana , unajua una dhambi weweLe super mutindiz u know 🔥🔥🔥🔥😋😄
Wewe ndo umesemaKumbe mimi ni taka taka🥲
Kwann 😄 hujiamini au😂Nimecheka sana , unajua una dhambi wewe
Usitake kufanya nipewe talaka ya Uzeeni na Bibi yenu, Mimi mwenyewe nilisoma kwenye Geography tu kuhusu hicho Kilimo Mjukuu 🤗🤣🤣🤣🤣 babu nimecheka sana
Kwani bk kuna kilimo cha umwagiliaji?
Sema kweliiii?Hahaha.............hiyo Ndoa yenu Wazee tunajua bado ni hai![]()




Hivi unaanzaje kumwambia mwenzako ni simtank?Wee ephen_ leo umetaka watu tuchekee?
Hili si pipa au simtank la 5000litres.
Wee hauko serious nshajua, khaaaah. Mbavu zinauma kwa kuchekaaa
![]()
Najiamini! Nimesema una dhambi sabbau umeniambia le mutindizi wakati hayo yangu sio makubwa ni wastani saa 6 iliyochangamkaKwann 😄 hujiamini au
Ndiyo ukweli huo 😅Sema kweliiii?![]()
Sumo ndio nini?Huyu amesema ukweli yupo kama wale sumo tena hapo kawahurumia sana ,namjua vizuri mno.
Wee hauko serious, ndo maana hata ulicheka kwenye comments ya picha.Hivi unaanzaje kumwambia mwenzako ni simtank?
Unadhani najisikiaje baada ya kusoma huu ujumbe wako? Nikijinyonga je?


