Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 9,871
- 32,691
Nimesahau jinsi ya kufuta picha 😅😅😅Bantu Lady tume miss kuzima server za jf ujue
Nimesahau jinsi ya kufuta picha 😅😅😅Bantu Lady tume miss kuzima server za jf ujue
Wewe huyo umepiga picha leo huna mikono.
Haha sawa bwana,Nawasubiria mlale kwanza, nibaki peke yangu 😄😄😄😄
😂😂😂😂😂Kilichosaidia zama zile hakukuwa na maradhi mengi kama miaka hii, japo utofauti wa mabinti wa zama zetu na hawa wa zama hizi ni utundu tu kunako 6*6
Nakumbuka Mwaka 47 bila ndugu kunigomea, nilitaka kumhonga binti mmoja Kiwanja cha familia baada ya kuzidiwa na utundu wake 😜🏃🏃🏃🙌
Nikitoka hapa TTG tuition inaanza mbantu. Usilale mapemaNimesahau jinsi ya kufuta picha 😅😅😅
Si mlikubaliana hamna kufuta??Nimesahau jinsi ya kufuta picha 😅😅😅
AnywayMajaribio ya kufuta 😆😆😆😆
😂😂😂 Basi andika talaka kwa niaba yake.Mi siwezi kumsaliti bro angu, nataka mparuane, mgombane muachane kweli🤣🤣🤣 tumechoka drama za la mujer de mi Vida🤣🤣🤣
😂😂😂😂 Kimbunga hidaya hakikuwa na madharaHaujuagi tu unavyonmpa chino mateso ukilaga ban we mtoto
Haha kumbe kivumbi kiliisha salama
😂😂😂 Kwani namba inashia na ngapi?? Leo nilikuwa na simu nyingiNimepiga namba yako uko bizze,mimi nimekula😁😁
Ndio sina nimetumia meno.Wewe huyo umepiga picha leo huna mikono.
😂😂😂😂 Si zile lenywe az nichi zombaa anyoajawah😂😂😂😂😂😂😂 kumbe mpo basi nimeghairi. Nitaweka usiku sana mkiwa mmelala. Kwanza nipe kodi ya kipilipili, unaitaja siielewi.
Hilo gubichwa na lako kabisa na ukiangalia hilo komwe limeendana na wewe na umekuwa BICHWA KOMWE -Ndio sina nimetumia meno.
Ndiyo nimeelewa hivyo, ila za nani? Yaani niko slow na umbea hata sielewi 😇😂😂😂😂 Si zile lenywe az nichi zombaa anyoajawah
Kuna siku alijisahau akaniambai ntakupiga hogo la papuchi 🤣🤣🤣🤣Haogopi mtu bichwa jamani halafu anapokea na kukubali tuhuma zote anazopewa🤣
Hilo gubichwa na lako kabisa na ukiangalia hilo komwe limeendana na wewe na umekuwa BICHWA KOMWE -
Mwenyewe simjui ila nimekupa maana yake 😂😂😂😂 karunguyeye AmazonNdiyo nimeelewa hivyo, ila za nani? Yaani niko slow na umbea hata sielewi 😇
Ndio nimejua kuotea una bichwa lenye komwe kama BICHWA KOMWE - . Sasa ulikuwa unakataa nini we sister du wa chongoleani?Ndio limeendana na mim kabisa umejua kuotea
AU basi nishaelewa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mwenyewe simjui ila nimekupa maana yake 😂😂😂😂 karunguyeye Amazon
Sijakataa mdogo anguNdio nimejua kuotea una bichwa lenye komwe kama BICHWA KOMWE - . Sasa ulikuwa unakataa nini we sister du wa chongoleani?