Selfika na JF: Snap it. Show it

Bagia zilikuwa Kama nini??

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uboo!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nilishawahi kupika home, nyumba nzima walipovukwwa,
Afu wao tyuu huwa wanawaza vibayaa, mie bagia za mviringo sizitakagi.

Napenda hizi za mchongo, sasa wao ndo wanafananisha na uboo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila uduguuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimewaza hiyo shape ya bagia nimeishia kucheka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie ndo nazipenda bagia za muundo wa 1, hizi za duara sizitaki,

Duara napikaga mabumunda afu kat kat naweka uwazi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bagia Kama uboho??

Anyway Engineer, siku ukipika niambie niweke order mapema.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hayo mambo bi Mkubwa alikataa kukata visheti shape hiyo [emoji3][emoji3][emoji3]akasema Anza upya kukata hiv sitaki[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ba tamu alifoka ile siku, had niliogopaa.
Kisa tyuu bagia, afu alimwaga nlipata hasara. Aaaah
 
Umeandika uongo, Ila yameisha no more mjadala
 
Sijui shemejio na gang lake, wameanza vizuri katikati mshirika wake si kaanza kutoa mipango waliyopanga 🀣🀣🀣🀣
Yani nimecheka, ikabidi wazuge kujifanya hawajuani etii.!! Mapenzi ya JF πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Uongo uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…