π€£π€£π€£Si walisema mwanamke Tako jamniAaliyyah
Shangazi nifundishe kupikaa, ona navyotaka kufurushwa ghaflaa hivii? Wee huogopiii?
View attachment 3019226
Sikujua kama mna mbinu hivi Mjukuu π ππ€£π€£π€£Si walisema mwanamke Tako jamni
Hata usiogope kata vizuri kiuno hata upike dagaa wanaelea ataona km roast tu
ππAunt Yako mapishi hayajanisaidia nimeachwa π€£π€£
ππEt mzee wa kale tuambie tujue kupika au kiuno huku nje mambo ni magumuπ€£π€£π€£Sikujua kama mna mbinu hivi Mjukuu π π
β€οΈπNzuri ukaribia nduguEid Mubarak
Mkwe ephen_ namuonea wivu mwanangu
Aaliyyah πππ
Ukhty Nuzulati Nzeze, Eid mubarak
Mzee wa kiko Grahams legend heshima yako mkuu, tupeane lokesheni tuje tupate nondo atleast..
Chinowana man Kapachino Naona umepotea potea au ndio mama la mamaaaa L kakuficha?? Au bado upo na Inni??
Ms R very soon inabidi kuna herufi r iongezeke hapo kwenye ms...
My brother ERoni Eid Mubarak brother, sikuoni Oni huku au ndio umehamia pm?? Hivi Yule mrembo alikuwa anaitwa husna muba huku yupo wapi?? Nimemmiss au ndio huyu Lamomy maana new id hizi unaweza rudia chaka la zaman..
BL nakupa mwaliko special karibu Eid, tumechinja hapa Kwa ajili yako.
Enzi zangu Mwaka 47 nilipenda zaidi kiuno kuliko mapishiππEt mzee wa kale tuambie tujue kupika au kiuno huku nje mambo ni magumuπ€£π€£π€£
cocastic umesikia mambo hayo wee pika tu fufua tu Hao dagaa auntyanguπππEnzi zangu Mwaka 47 nilipenda zaidi kiuno kuliko mapishi
Hata ukipika mswepolezo nitaona umepika chakula cha KFC iwapo una kiuno kama Feni ππ
cocastic umesikia mambo hayo wee pika tu fufua tu Hao dagaa auntyangu
Pika tu hizo chapat kaukau hata hawajali
Si walisema mwanamke Tako jamni
Hata usiogope kata vizuri kiuno hata upike dagaa wanaelea ataona km roast tu
Aunt Yako mapishi hayajanisaidia nimeachwa
Bff nimestuka hiyo avatar yako...unanichanganya ujueKapotea dada mkubwa, au katekwa?
Babu babu πEnzi zangu Mwaka 47 nilipenda zaidi kiuno kuliko mapishi
Hata ukipika mswepolezo nitaona umepika chakula cha KFC iwapo una kiuno kama Feni ππ
Nachinja njiwa.sasa unachinja nn Leo? Afu ujue nn au bas.
Bagia zilikuwa Kama nini??ba tamu mbona huwa anaipataa fresh, mie nikiamua kupika napika kweli, ila had nitakee.
Sio mtu anilazimishee, sahivi kazoea.
Nlipika bagia za mchongo,ule muuondo ba tamu akamwagaa, anasema "wee kichaa utakuja ufe vibaya afu kimasikhara"
Bagia zilikua km ubooo.
Nachinja njiwa.
Hahah nimechagua hiyo ya au basi..
Ila uduguuu πππππ nimewaza hiyo shape ya bagia nimeishia kuchekaba tamu mbona huwa anaipataa fresh, mie nikiamua kupika napika kweli, ila had nitakee.
Sio mtu anilazimishee, sahivi kazoea.
Nlipika bagia za mchongo,ule muuondo ba tamu akamwagaa, anasema "wee kichaa utakuja ufe vibaya afu kimasikhara"
Bagia zilikua km ubooo.
Uboo!!Bagia zilikuwa Kama nini??