Selfika na JF: Snap it. Show it

Aaliyyah
Shangazi nifundishe kupikaa, ona navyotaka kufurushwa ghaflaa hivii? Wee huogopiii?
View attachment 3019226
🀣🀣🀣Si walisema mwanamke Tako jamni
Hata usiogope kata vizuri kiuno hata upike dagaa wanaelea ataona km roast tu
πŸ˜‚πŸ˜‚Aunt Yako mapishi hayajanisaidia nimeachwa 🀣🀣
 
🀣🀣🀣Si walisema mwanamke Tako jamni
Hata usiogope kata vizuri kiuno hata upike dagaa wanaelea ataona km roast tu
πŸ˜‚πŸ˜‚Aunt Yako mapishi hayajanisaidia nimeachwa 🀣🀣
Sikujua kama mna mbinu hivi Mjukuu 😜 πŸ˜…
 
❀️😍Nzuri ukaribia ndugu
 
πŸ˜€πŸ˜‚Et mzee wa kale tuambie tujue kupika au kiuno huku nje mambo ni magumu🀣🀣🀣
Enzi zangu Mwaka 47 nilipenda zaidi kiuno kuliko mapishi

Hata ukipika mswepolezo nitaona umepika chakula cha KFC iwapo una kiuno kama Feni πŸƒπŸ™ˆ
 
Enzi zangu Mwaka 47 nilipenda zaidi kiuno kuliko mapishi

Hata ukipika mswepolezo nitaona umepika chakula cha KFC iwapo una kiuno kama Feni πŸƒπŸ™ˆ
cocastic umesikia mambo hayo wee pika tu fufua tu Hao dagaa auntyanguπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Pika tu hizo chapat kaukau hata hawajali
 
cocastic umesikia mambo hayo wee pika tu fufua tu Hao dagaa auntyangu

Pika tu hizo chapat kaukau hata hawajali
ba tamu mbona huwa anaipataa fresh, mie nikiamua kupika napika kweli, ila had nitakee.

Sio mtu anilazimishee, sahivi kazoea.

Nlipika bagia za mchongo,
ule muuondo ba tamu akamwagaa, anasema "wee kichaa utakuja ufe vibaya afu kimasikhara"

Bagia zilikua km ubooo.
 
Bagia zilikuwa Kama nini??

🀣🀣🀣🀣
 
Ila uduguuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nimewaza hiyo shape ya bagia nimeishia kucheka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…