Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Eid Mubarak

Mkwe ephen_ namuonea wivu mwanangu

Aaliyyah 😍😍😍

Ukhty Nuzulati Nzeze, Eid mubarak

Mzee wa kiko Grahams legend heshima yako mkuu, tupeane lokesheni tuje tupate nondo atleast..

Chinowana man Kapachino Naona umepotea potea au ndio mama la mamaaaa L kakuficha?? Au bado upo na Inni??

Ms R very soon inabidi kuna herufi r iongezeke hapo kwenye ms...

My brother ERoni Eid Mubarak brother, sikuoni Oni huku au ndio umehamia pm?? Hivi Yule mrembo alikuwa anaitwa husna muba huku yupo wapi?? Nimemmiss au ndio huyu Lamomy maana new id hizi unaweza rudia chaka la zaman..

BL nakupa mwaliko special karibu Eid, tumechinja hapa Kwa ajili yako.
Hahahaha asanteeeee,,,ila kwenye kuongeza herufi apo😌🙌🏾
 
Sijui shemejio na gang lake, wameanza vizuri katikati mshirika wake si kaanza kutoa mipango waliyopanga
Yani nimecheka, ikabidi wazuge kujifanya hawajuani etii.!! Mapenzi ya JF
mabwakuuu. Woiiiiih
 
Eid Mubarak

Mkwe ephen_ namuonea wivu mwanangu

Aaliyyah

Ukhty Nuzulati Nzeze, Eid mubarak

Mzee wa kiko Grahams legend heshima yako mkuu, tupeane lokesheni tuje tupate nondo atleast..

Chinowana man Kapachino Naona umepotea potea au ndio mama la mamaaaa L kakuficha?? Au bado upo na Inni??

Ms R very soon inabidi kuna herufi r iongezeke hapo kwenye ms...

My brother ERoni Eid Mubarak brother, sikuoni Oni huku au ndio umehamia pm?? Hivi Yule mrembo alikuwa anaitwa husna muba huku yupo wapi?? Nimemmiss au ndio huyu Lamomy maana new id hizi unaweza rudia chaka la zaman..

BL nakupa mwaliko special karibu Eid, tumechinja hapa Kwa ajili yako.
Kweli had mie nasahaulika kwa mzee wa hall V, ibabidi nistaafu selfika sasa, nikaswampee kwingneee.
 
Eid Mubarak

Mkwe ephen_ namuonea wivu mwanangu

Aaliyyah 😍😍😍

Ukhty Nuzulati Nzeze, Eid mubarak

Mzee wa kiko Grahams legend heshima yako mkuu, tupeane lokesheni tuje tupate nondo atleast..

Chinowana man Kapachino Naona umepotea potea au ndio mama la mamaaaa L kakuficha?? Au bado upo na Inni??

Ms R very soon inabidi kuna herufi r iongezeke hapo kwenye ms...

My brother ERoni Eid Mubarak brother, sikuoni Oni huku au ndio umehamia pm?? Hivi Yule mrembo alikuwa anaitwa husna muba huku yupo wapi?? Nimemmiss au ndio huyu Lamomy maana new id hizi unaweza rudia chaka la zaman..

BL nakupa mwaliko special karibu Eid, tumechinja hapa Kwa ajili yako.
Eid Mubarak kwako pia Mkuu 🙏

Leo nampeleka Mjukuu wangu mmoja Coco beach akale mishkaki

Mzee mwenzangu Jioni tukutane kwenye kijiwe chetu cha kucheza Bao, rafiki yetu Mzee Suleiman atakuja na Kiko alizoagiza Dubai ili tuvute pamoja wakati tunapiga Soga 🤗
 
Legend upo? Eid Mubarak

Enz zile sikukuuu Kama hizi mlikuwa mnasheherekea vipi??
Nipo Mkuu, Eid Mubarak kwako pia

Nakumbuka Sikukuu kama hizi Mwaka 47, ilikuwa Jioni tunakutana Ukumbi wa DDC kucheza Disko huku tukifurahia Muziki wa bendi 🤗

Those were days
 
Kwanza nichekeee,

Dalali wa kuuza slays kwa vibopaa, akati hata ABC za udalali cna.

Ila waja jamaniiii, woiiiiih
1718598111043.jpg
 
Kijana wa hovyo ktk 1 na 2, jamanii muwe makini ktk maghettoz ya ba tamu zenu.
Vijana wamevurugwa hadi akili ina stuck, mweeeeeh
1718598751293.jpg
 
Eid Mubarak

Mkwe ephen_ namuonea wivu mwanangu

Aaliyyah 😍😍😍

Ukhty Nuzulati Nzeze, Eid mubarak

Mzee wa kiko Grahams legend heshima yako mkuu, tupeane lokesheni tuje tupate nondo atleast..

Chinowana man Kapachino Naona umepotea potea au ndio mama la mamaaaa L kakuficha?? Au bado upo na Inni??

Ms R very soon inabidi kuna herufi r iongezeke hapo kwenye ms...

My brother ERoni Eid Mubarak brother, sikuoni Oni huku au ndio umehamia pm?? Hivi Yule mrembo alikuwa anaitwa husna muba huku yupo wapi?? Nimemmiss au ndio huyu Lamomy maana new id hizi unaweza rudia chaka la zaman..

BL nakupa mwaliko special karibu Eid, tumechinja hapa Kwa ajili yako.
JazakAllah Khair
 
Eid Mubarak

Mkwe ephen_ namuonea wivu mwanangu

Aaliyyah 😍😍😍

Ukhty Nuzulati Nzeze, Eid mubarak

Mzee wa kiko Grahams legend heshima yako mkuu, tupeane lokesheni tuje tupate nondo atleast..

Chinowana man Kapachino Naona umepotea potea au ndio mama la mamaaaa L kakuficha?? Au bado upo na Inni??

Ms R very soon inabidi kuna herufi r iongezeke hapo kwenye ms...

My brother ERoni Eid Mubarak brother, sikuoni Oni huku au ndio umehamia pm?? Hivi Yule mrembo alikuwa anaitwa husna muba huku yupo wapi?? Nimemmiss au ndio huyu Lamomy maana new id hizi unaweza rudia chaka la zaman..

BL nakupa mwaliko special karibu Eid, tumechinja hapa Kwa ajili yako.
Asante mkuu kwa baraka za Eid,
Ila huku nimestaafu, age imekata sana kiasi kwamba hata miwani yangu haioni tena. Nakuachia ulisongeshe.
 
Back
Top Bottom