Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Attachments

  • Screenshot_20240616-234952.jpg
    Screenshot_20240616-234952.jpg
    136.6 KB · Views: 5
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Kwani hata namchokozaga basi!! Mwenyewe vikimpanda tyuu ananiibukia.!! Kuna comments akiziona lazima aje awashe moto ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Ss hivi nimechoka sitaki hata kuiona id yake, mwanaume gani hana kifua. Mambo ya ndani anatoa mliyojadili wawili peke yenu.!! Km sio ugombanishi ni nini?? Na mimi nikianza kutoa yake aliyoniambia si itakuwa balaa humu!!

Ss hivi anatokea ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ
Yatoe bhana, kwani shi ngapi?

Wachochezi tunachochea Kuni mbichi kiwakeee๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Asante hivi wewe ni Ex? Best? Ama maana Selfika na hekaheka mpaka nasahau [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Location Bonyokwa... natia timu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila BL una hatariii weyeee ujue, unauliza kabisaa.
 
Kweli sie tulipofikia baba Jeni bye bye [emoji23][emoji23][emoji23]
Haina kugeuka nyuma, ila nyie ndio hamuaminiki.!! Ila nimecheka yani tunagombana watu wametulia tuli hawachangii.!! Mmoja kajitokeza kamuunga mkono mbele kamkataa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kuna vitu vinachekesha sana, hii tabia sijaizoea selfikaโ€ฆ hapa ilitakiwa wawe wanakazia na kuchochea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nani anataka kuumbuka? Kesho tunawakuta babe kibao. Tunawangalia tu, kuumbuka mwisho mwaka jana [emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nacheka hapa sina hamu, uliniacha ukaangukia kwa kidney [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] tulikuwa tunakuchora tu. Ukifika tu unamtag kumbeee [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiii
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Kwani hata namchokozaga basi!! Mwenyewe vikimpanda tyuu ananiibukia.!! Kuna comments akiziona lazima aje awashe moto [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ss hivi nimechoka sitaki hata kuiona id yake, mwanaume gani hana kifua. Mambo ya ndani anatoa mliyojadili wawili peke yenu.!! Km sio ugombanishi ni nini?? Na mimi nikianza kutoa yake aliyoniambia si itakuwa balaa humu!!

Ss hivi anatokea [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaa
 
Yatoe bhana, kwani shi ngapi?

Wachochezi tunachochea Kuni mbichi kiwakeee๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Wifi mbona unanitisha imekuwaje ghafla hivi uwe upande wangu?? Ndugu wa mume hamuaminiki!! ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Back
Top Bottom