Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 10,547
- 22,982
sasa nitaitwaje portable bwana weweeeeeeeee 🙄Sio lazima uwe bonge kote, unajazia mpododo wifi 😂
sasa nitaitwaje portable bwana weweeeeeeeee 🙄Sio lazima uwe bonge kote, unajazia mpododo wifi 😂
zawadi ya kudumu ni kubarikiwa wowowoooMpododo ndio nini??
Hata sifahamiani naye salamu haziwezi kufika 😔😔Asante Kwa ufafanuzi.
Msalimie huyo nadhani ni mheshimiwa mkuu WA wilaya.
NyashMpododo ndio nini??
Hao ni vijana wala chps...sasa hawa vijana wanaopenda toothpick kama sisi waende wapi?
😂😂😂😂 utaitwa hivyo hivyo au tuite portabongesasa nitaitwaje portable bwana weweeeeeeeee 🙄
acha kupotosha majibaba yetu,,,na wala sidanganyiki ng'oooHao ni vijana wala chps...
Hawajui Raha IPO Kwa wenye nyamanyama....
Hao tooth picks yaan Kama vile unaendesha vitz au ist.. wakati Raha uhush kilo Kama 80 au 90...six cylinder turbo engine
tofauti yako wewe na mchawi ni hujui kukaa kwenye ungo😂😂😂😂😂😂 utaitwa hivyo hivyo au tuite portabonge
Legendary mwenyewe 🤣🤣🤣🤣Hao ni vijana wala chps...
Hawajui Raha IPO Kwa wenye nyamanyama....
Hao tooth picks yaan Kama vile unaendesha vitz au ist.. wakati Raha uhush kilo Kama 80 au 90...six cylinder turbo engine
🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌tofauti yako wewe na mchawi ni hujui kukaa kwenye ungo😂😂
😂😂Kwani nimedanganya,, skuile nmetuma pcha ulisifia kabody kangu ila leo unasemaje🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌
Wifi nimelia sana
Nimesifia ndio ila nimesema ijazie kwenye nyash ili ukitembea unakuwa km twiga 😂😂😂😂😂Kwani nimedanganya,, skuile nmetuma pcha ulisifia kabody kangu ila leo unasemaje
Doh! Hiii mistari kila nkisoma uelekeo ni mmoja tangu juziMpaji Mungu mithali 19:14
unaniona mimi poyoyo sio 😂😂😂Nimesifia ndio ila nimesema ijazie kwenye nyash ili ukitembea unakuwa km twiga 😂😂😂
Kweli wifi bana 😂😂😂unaniona mimi poyoyo sio 😂😂😂
labda ndo kitu kinachokusudiwa kwako kwasasa😌Doh! Hiii mistari kila nkisoma uelekeo ni mmoja tangu juzi
sasa ni ivi,,my body my choice 😂😂Kweli wifi bana 😂😂😂