Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Attachments

  • Screenshot_20240616-234952.jpg
    Screenshot_20240616-234952.jpg
    136.6 KB · Views: 2
😂😂😂 Kwani hata namchokozaga basi!! Mwenyewe vikimpanda tyuu ananiibukia.!! Kuna comments akiziona lazima aje awashe moto 🤣🤣🤣

Ss hivi nimechoka sitaki hata kuiona id yake, mwanaume gani hana kifua. Mambo ya ndani anatoa mliyojadili wawili peke yenu.!! Km sio ugombanishi ni nini?? Na mimi nikianza kutoa yake aliyoniambia si itakuwa balaa humu!!

Ss hivi anatokea 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
Yatoe bhana, kwani shi ngapi?

Wachochezi tunachochea Kuni mbichi kiwakeee🤣🤣🤣🤣
 
Kweli sie tulipofikia baba Jeni bye bye
Haina kugeuka nyuma, ila nyie ndio hamuaminiki.!! Ila nimecheka yani tunagombana watu wametulia tuli hawachangii.!! Mmoja kajitokeza kamuunga mkono mbele kamkataa

Kuna vitu vinachekesha sana, hii tabia sijaizoea selfika… hapa ilitakiwa wawe wanakazia na kuchochea
 
Kwani hata namchokozaga basi!! Mwenyewe vikimpanda tyuu ananiibukia.!! Kuna comments akiziona lazima aje awashe moto

Ss hivi nimechoka sitaki hata kuiona id yake, mwanaume gani hana kifua. Mambo ya ndani anatoa mliyojadili wawili peke yenu.!! Km sio ugombanishi ni nini?? Na mimi nikianza kutoa yake aliyoniambia si itakuwa balaa humu!!

Ss hivi anatokea
kumekuchaaaaa
 
Yatoe bhana, kwani shi ngapi?

Wachochezi tunachochea Kuni mbichi kiwakeee🤣🤣🤣🤣
Wifi mbona unanitisha imekuwaje ghafla hivi uwe upande wangu?? Ndugu wa mume hamuaminiki!! 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom