Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 15,751
- 50,159
Bado bado kidogo kama 5yrs hvlabda ndo kitu kinachokusudiwa kwako kwasasa😌
Bado bado kidogo kama 5yrs hvlabda ndo kitu kinachokusudiwa kwako kwasasa😌
na unaweza sema mimi ndio hutafuta,,ila hapana hua wanaleta wenyeweBado bado kidogo kama 5yrs hv
Yatoe bhana, kwani shi ngapi?😂😂😂 Kwani hata namchokozaga basi!! Mwenyewe vikimpanda tyuu ananiibukia.!! Kuna comments akiziona lazima aje awashe moto 🤣🤣🤣
Ss hivi nimechoka sitaki hata kuiona id yake, mwanaume gani hana kifua. Mambo ya ndani anatoa mliyojadili wawili peke yenu.!! Km sio ugombanishi ni nini?? Na mimi nikianza kutoa yake aliyoniambia si itakuwa balaa humu!!
Ss hivi anatokea 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Uduguu acha umbea![]()



sijapendaaaa, kwann hukuniitaa?Nimecheka uduguu eti napangiwa mtungo.!! Kuna vitu vinachekesha sana.!!





Asante hivi wewe ni Ex? Best? Ama maana Selfika na hekaheka mpaka nasahauLocation Bonyokwa... natia timu




ila BL una hatariii weyeee ujue, unauliza kabisaa.Weee usiniuze, nyie ndiyo mnajuana wiki ijayo mahaba motomoto. Huyo ni wako wa kufa na kuzikana.





Kweli sie tulipofikia baba Jeni bye bye
Haina kugeuka nyuma, ila nyie ndio hamuaminiki.!! Ila nimecheka yani tunagombana watu wametulia tuli hawachangii.!! Mmoja kajitokeza kamuunga mkono mbele kamkataa
Kuna vitu vinachekesha sana, hii tabia sijaizoea selfika… hapa ilitakiwa wawe wanakazia na kuchochea






Nani anataka kuumbuka? Kesho tunawakuta babe kibao. Tunawangalia tu, kuumbuka mwisho mwaka jana![]()





Nacheka hapa sina hamu, uliniacha ukaangukia kwa kidneytulikuwa tunakuchora tu. Ukifika tu unamtag kumbeee
![]()





jamaniiiiiKwani hata namchokozaga basi!! Mwenyewe vikimpanda tyuu ananiibukia.!! Kuna comments akiziona lazima aje awashe moto
Ss hivi nimechoka sitaki hata kuiona id yake, mwanaume gani hana kifua. Mambo ya ndani anatoa mliyojadili wawili peke yenu.!! Km sio ugombanishi ni nini?? Na mimi nikianza kutoa yake aliyoniambia si itakuwa balaa humu!!
Ss hivi anatokea![]()




kumekuchaaaaaWifi mbona unanitisha imekuwaje ghafla hivi uwe upande wangu?? Ndugu wa mume hamuaminiki!! 🤣🤣🤣Yatoe bhana, kwani shi ngapi?
Wachochezi tunachochea Kuni mbichi kiwakeee🤣🤣🤣🤣
Oy mda wa kulala, uwe na usiku mwemana unaweza sema mimi ndio hutafuta,,ila hapana hua wanaleta wenyewe
Twende kwa uduguu wetu 😂😂😂
😂😂😂🤣 Umezidi kumganda ba tamusijapendaaaa, kwann hukuniitaa?
Sema leo nlkua na ba tamu nlimganda balaaa
Chino umekata tamaa kipindi hiki cha kunitoa upweke kweli?? Nimelia sana 🤣🤣🤣Hahaha
Chino anaanzia wapi kupindua kwako mchuchu ?³