Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Bro yaishe kama umeamua hivyo basi sawa, niache niendelee kuchat na mtoto mzuri...
yaishe kweli, au unajipanga uje na lipiii?
Uzuri mie utakavyokuja nakupokea hivyo hivyooo.

hayaa chati na mtoto mzuri, uwe shem, ila kumbuka had mie nimshawishi akukubalie, viginevyoo utagonganisha sana meno upate kithembe, na mchuchu usimpatee.

Wee huogopiiiii?
 
Hapana huyo Bro niliona picha yake, amekomaa miguu sana na ana vigimbi...

Halafu mwanaume hata akae pozi lipi unamjua tu..

Ila watu wana roho ngumu sana, bro alivyo komaa utasema anacheza karate..
😂😂😂😂 Uliona picha kumbe?? Sasa km sio yeye? Si mtu anaweza kutuma picha ya mtu yeyote akijisikia kwani tunajuana humu??
 
yaishe kweli, au unajipanga uje na lipiii?
Uzuri mie utakavyokuja nakupokea hivyo hivyooo.

hayaa chati na mtoto mzuri, uwe shem, ila kumbuka had mie nimshawishi akukubalie, viginevyoo utagonganisha sana meno upate kithembe, na mchuchu usimpatee.

Wee huogopiiiii?
Uduguu sitaki tena mahusiano humu, nimewaachia nyie 😂😂😂😂
Ulinichuza kwa madenge ona yaliyonikuta
 
Back
Top Bottom