cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,303
hapo kwenye maokoto sina uhakika!! Umefanya nimemmiss shem kukwangua



shem yuko buzzy kutafuta, ngoja arudi atuchapee na vikwanguo.hapo kwenye maokoto sina uhakika!! Umefanya nimemmiss shem kukwangua



shem yuko buzzy kutafuta, ngoja arudi atuchapee na vikwanguo.Ww umemuona?? Humu watu hawako vile wanavyoandika ohhh.!!Bro anazingua sana..
Ni mtu mzima sasa wa kuwa na mke na watoto ila ameamua aliwe exhaust pipe... Inasikitisha sana..
Kweli furahidei 😂😂😂😂uduguuu leo ni furahidai. Umesahau?
Mtanipasua mbavu nyie 😂😂😂
Ila selfika ina wenyewe na wenyewe ndo sisi



noumaaaaah uduguuuu ake.Achana na huyo kichaa mtoto mzuri..😂😂😂😂 Ndio shemeji
Boss hana baya!! Arudi tugombanie vocha hapa 😂😂😂😂shem yuko buzzy kutafuta, ngoja arudi atuchapee na vikwanguo.
Nikikumbuka nacheka 😂😂😂
Hapana huyo Bro niliona picha yake, amekomaa miguu sana na ana vigimbi...Ww umemuona?? Humu watu hawako vile wanavyoandika ohhh.!!
😂😂😂😂 toka asubuhi sijacheka km nikivyocheka ss hivi.noumaaaaah uduguuuu ake.
Bro yaishe kama umeamua hivyo basi sawa, niache niendelee kuchat na mtoto mzuri...



yaishe kweli, au unajipanga uje na lipiii?



hayaa chati na mtoto mzuri, uwe shem, ila kumbuka had mie nimshawishi akukubalie, viginevyoo utagonganisha sana meno upate kithembe, na mchuchu usimpatee.Id yako nyingine ipi shem? 😂😂😂Achana na huyo kichaa mtoto mzuri..
Mtanipasua mbavu nyie![]()



yaani hivi unajua, nikilog JF akili inajifyatua enyewe, cjui nakuajee yaani, noumaaaaah😂😂😂😂 Uliona picha kumbe?? Sasa km sio yeye? Si mtu anaweza kutuma picha ya mtu yeyote akijisikia kwani tunajuana humu??Hapana huyo Bro niliona picha yake, amekomaa miguu sana na ana vigimbi...
Halafu mwanaume hata akae pozi lipi unamjua tu..
Ila watu wana roho ngumu sana, bro alivyo komaa utasema anacheza karate..
Boss hana baya!! Arudi tugombanie vocha hapa
Na bosslady naye aje atubless mivocha



udugu em niachee, kwann lakiniiii?Zipo nyingi, ila hii si ya matukio, ukiona hadi naifanyia haya matukio ujue nimekuelewa mtoto mzuri..Id yako nyingine ipi shem? 😂😂😂
WeeeeNimechambwa leo familia yangu mlikuwa wapi? 😂😂😂😂
Uduguu sitaki tena mahusiano humu, nimewaachia nyie 😂😂😂😂yaishe kweli, au unajipanga uje na lipiii?
Uzuri mie utakavyokuja nakupokea hivyo hivyooo.
hayaa chati na mtoto mzuri, uwe shem, ila kumbuka had mie nimshawishi akukubalie, viginevyoo utagonganisha sana meno upate kithembe, na mchuchu usimpatee.
Wee huogopiiiii?