Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mrembo ndo mie hapa, huyu alikuwepo toka mda, hukuzungumza nae na hukuwepo, ila mie kuingia humu nawe huyoo umezamia

Unaniona kwenye glass ya maji au juice? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimekuta umeni quote bro..
Ila bro unazingua sana.. we si una ndevu kabisa tena hadi mapele kwenye kidevu, hata kama ni ugum wa maisha umezingua sana...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu, ba tamu had anauliza "umeanza kuchizika huko room?"

Nlikua naadika huku napayuka kwa kucheka, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂😂 una uchizi mwingi tatizo
 
Mrembo ndo mie hapa, huyu alikuwepo toka mda, hukuzungumza nae na hukuwepo, ila mie kuingia humu nawe huyoo umezamia

Unaniona kwenye glass ya maji au juice? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂😂😂 coca ntakupasua umefanya mbavu zinaniuma mwenzio
 
Muulize ana maokotooo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sponsa awe km Mr kukwagua, yaan chap muamala huu hapa.

Au wee unasemajeee?
😂😂😂😂😂 hapo kwenye maokoto sina uhakika!! Umefanya nimemmiss shem kukwangua
 
Nimekuta umeni quote bro..
Ila bro unazingua sana.. we si una ndevu kabisa tena hadi mapele kwenye kidevu, hata kama ni ugum wa maisha umezingua sana...
😂😂😂😂 hizi punch zenu asilie mtu.
 
Nimekuta umeni quote bro..
Ila bro unazingua sana.. we si una ndevu kabisa tena hadi mapele kwenye kidevu, hata kama ni ugum wa maisha umezingua sana...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio ndevu hadi vinyweleoo ninavyo vya kushatooo, Shaver ipo na ndo kazi yake kupruniii hayo maoteo.

Ugumu wa maisha hapana, ila uroho wa mbooo sawaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio ndevu hadi vinyweleoo ninavyo vya kushatooo, Shaver ipo na ndo kazi yake kupruniii hayo maoteo.

Ugumu wa maisha hapana, ila uroho wa mbooo sawaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂😂😂 Ila selfika ina wenyewe na wenyewe ndo sisi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio ndevu hadi vinyweleoo ninavyo vya kushatooo, Shaver ipo na ndo kazi yake kupruniii hayo maoteo.

Ugumu wa maisha hapana, ila uroho wa mbooo sawaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bro yaishe kama umeamua hivyo basi sawa, niache niendelee kuchat na mtoto mzuri...
 
Ss hivi mmelala ngoja nipite naked sasa Mpaji Mungu wahi kabla sijafuta 😂😂😂
 

Attachments

  • IMG_0620.jpeg
    IMG_0620.jpeg
    413.7 KB · Views: 2
Back
Top Bottom