100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 8,791
- 30,985
Bro unazingua..uduguuu ucnichekeshee mie hapaa.
Kuna siku nafanya usafi kwa kutumia water lubries inaitwa Devex,
Sasa kumbe inatakiwa maji ya uvugu uvugu, mie nkatumia ya baridii, kuweka kugusa kule kunako, nlivyorukaa na kupiga ukunga huo.
niliropokaa mambo ya ajabu, yaan kungekua na mtu karibu angenifunga kamba, kwamba uchizi umeanzaa.
kumuambia baba tamu alicheka, japo sio mchekaji holela, na ni mgumu kucheka.


