Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

uduguuu ucnichekeshee mie hapaa.
Kuna siku nafanya usafi kwa kutumia water lubries inaitwa Devex,
Sasa kumbe inatakiwa maji ya uvugu uvugu, mie nkatumia ya baridii, kuweka kugusa kule kunako, nlivyorukaa na kupiga ukunga huo.

niliropokaa mambo ya ajabu, yaan kungekua na mtu karibu angenifunga kamba, kwamba uchizi umeanzaa.

kumuambia baba tamu alicheka, japo sio mchekaji holela, na ni mgumu kucheka.
Bro unazingua..
 
nakwambia yamenikuta sina hamu!!
Ila umenichekesha shem hajakupepea?? Waxing nzuri ila ina balaa lake haswaaa hii ya kienyeji wohiiii!! Nimekoma
Ss hivi najipeleka mwenyewe kufanyiwa staki tena ujuaji
hatariiiii tupuuu. Anipepeee wapiii na nilimuambia kwa cm.

Kujifanya mjuajii, nachukua product hata maelezo sisikilizi vizuri, ile siku niliropokaaa, "naacha mie sirudii tena" cha kuacha chenyewe sikijui
 
Moderators!!!!

Huu uzi ulipoa km kojo LA hanithii, yaan haukua na uchangamfu, ila leo kutuachia huru mie na udugu wangu, li uzi limefufuka km nsyuka toleo jipyaaa.

Yaan linatatalika utadhani mtu anaoga nje,
Mtupe maua yetuu, Selfika ina wenyewee, na wenyewe ndo sie.

Naona leo hapo JF HQ mnautazama huu uzi ukiwa wa

Lazima niwachaneee makavuu, Selfika inabebwaa na heka heka.
Na wenye heka heka ndo sie, afu hatulazimishii tunazimuduuu.

Wachachuajiiii km wachachuajiii tuko winjaaaaa winjaaaaaa!!!!
Kaeni kwa kutuliaaa, mtazamee manjegekaaa yanavyonjegeshwaaa.

😂😂Mbona kojo la hanithi mweeee
 
Lamomy uduguuu umeamkaaa? Afu ukuje unisabahi.
Nimeamka uduguu wangu, nilimpigia simu dada aje tulale wote. Nilihisi Israel yuko karibu.
Leo najisikia poa kiasi chake najua kufika mchana nitatoka nje kufanya mazoezi.
Ahsante kwa kujali coca wangu 🥰🥰🥰
 
Back
Top Bottom