Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Lamomy uduguuu umeamkaaa? Afu ukuje unisabahi.
Nimeamka uduguu wangu, nilimpigia simu dada aje tulale wote. Nilihisi Israel yuko karibu.
Leo najisikia poa kiasi chake najua kufika mchana nitatoka nje kufanya mazoezi.
Ahsante kwa kujali coca wangu 🥰🥰🥰
 
Nimeamka uduguu wangu, nilimpigia simu dada aje tulale wote. Nilihisi Israel yuko karibu.
Leo najisikia poa kiasi chake najua kufika mchana nitatoka nje kufanya mazoezi.
Ahsante kwa kujali coca wangu [emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Unajua vile nakupenda sana uduguu ake!!! [emoji8][emoji8][emoji182][emoji182]
 
Uduguuu leo naenda kwa ba tamu, ko kuanzia jion sitakua JF had J3 asubuhi.

[emoji178][emoji178][emoji178]
Kumekucha 😂😂😂
Weekend yako ya moto, km nakuona mbilinge zako..!! Huko kwa ba tamu unapikaga??

Mbona km umenitamanisha nitafute safari na mimi nipotee mpk j3!!
Ngoja nifanye jambo, tupotee wote. 😂😂😂
 
😂😂😂😂We nawe sema ulipewa mashart na mganga wako hebu ukooo
😂😂😂 Na kuna siku ntaoga msimbazi mchana kweupe ili niuze vijora vyangu, mana wateja mmekuwa wabishi kutuungisha
 
😂😂😂 Na kuna siku ntaoga msimbazi mchana kweupe ili niuze vijora vyangu, mana wateja mmekuwa wabishi kutuungisha
hao wavaa vijora sasa sio mimi,,mi na vijora wapi na wapi😂😂toka nimezaliwa ninacho kimoja na kaninunulia mama karibun tu apa
 
hao wavaa vijora sasa sio mimi,,mi na vijora wapi na wapi😂😂toka nimezaliwa ninacho kimoja na kaninunulia mama karibun tu apa
Itakubidi uanze sa mimi ntakula wapi? 😂😂😂
 
Back
Top Bottom