Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

uduguuu nimechekaaa had baas.
Ngoja nimuimbie ba tamu "never ever" ya Vanessa mdee alale ucngz
Watu na mahaba yenu buana ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Mi leo najisikia vibaya hata job sijaenda.!! Na nikiumwaga naogopa kusinzia nahisi ntapitiliza ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Mbona waminye vipira hadi vipasuke pwiiiiiii, waache kuwashwa na shipa la mgongo.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ umenikumbusha, si nimejitia uchizi nimejifanyia waxing ya kienyeji.!! Wohiiii wohiii inaumaje maniner mpk nimefoka ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Nyie hatareeeeee unanena kwa lugha ambazo mwenyewe huwezi kuzirudia hata uwekewe billion
 
Mahaba km yoteeee,
uduguu unaogopaa kufaa?
Naogopa balaa hapa niko peke yangu nimefungulia tv kwa sauti kubwa ili Israel akija aanze kucheck movie asahau!! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Natafuta wa kumpigia simu anisogezee usingizi nilale, sijui nimpigie dear ex
 
umenikumbusha, si nimejitia uchizi nimejifanyia waxing ya kienyeji.!! Wohiiii wohiii inaumaje maniner mpk nimefoka
Nyie hatareeeeee unanena kwa lugha ambazo mwenyewe huwezi kuzirudia hata uwekewe billion
uduguuu ucnichekeshee mie hapaa.
Kuna siku nafanya usafi kwa kutumia water lubries inaitwa Devex,
Sasa kumbe inatakiwa maji ya uvugu uvugu, mie nkatumia ya baridii, kuweka kugusa kule kunako, nlivyorukaa na kupiga ukunga huo.

niliropokaa mambo ya ajabu, yaan kungekua na mtu karibu angenifunga kamba, kwamba uchizi umeanzaa.

kumuambia baba tamu alicheka, japo sio mchekaji holela, na ni mgumu kucheka.
 
Naogopa balaa hapa niko peke yangu nimefungulia tv kwa sauti kubwa ili Israel akija aanze kucheck movie asahau!!
Natafuta wa kumpigia simu anisogezee usingizi nilale, sijui nimpigie dear ex
had dear ex tena, woiiiiih.
 
uduguuu ucnichekeshee mie hapaa.
Kuna siku nafanya usafi kwa kutumia water lubries inaitwa Devex,
Sasa kumbe inatakiwa maji ya uvugu uvugu, mie nkatumia ya baridii, kuweka kugusa kule kunako, nlivyorukaa na kupiga ukunga huo.

niliropokaa mambo ya ajabu, yaan kungekua na mtu karibu angenifunga kamba, kwamba uchizi umeanzaa.

kumuambia baba tamu alicheka, japo sio mchekaji holela, na ni mgumu kucheka.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ nakwambia yamenikuta sina hamu!!
Ila umenichekesha shem hajakupepea?? Waxing nzuri ila ina balaa lake haswaaa hii ya kienyeji wohiiii!! Nimekoma ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ
Ss hivi najipeleka mwenyewe kufanyiwa staki tena ujuaji
 
huyu mie namshangaa, hajawahi nitongoza na hatukuwahi zungumza chochote kuhusu love, ila yeye ndo alikua ananikubalii akijua ni ka dyadyaa.

Sasa baada ya kuambiwa mie ni kidampa, kaanza chuki na hasira, sasa km hana interest na vidampa si awe buzzy na galz, uzuri mie sina hata tyme nae, niko buzzy na yangu.

Ila yeye hawezi kaa bilaa kunifata fata,
JF ina heka heka hatariiii.
Nani alikua anakukubali?
Sikubaligi uchafu..
 
Back
Top Bottom