Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,494
- 55,144
Na ka mwili hako๐๐๐ tutawakanyagia mpk wapoteane
Na ka mwili hako๐๐๐ tutawakanyagia mpk wapoteane
Mbona waminye vipira hadi vipasuke pwiiiiiii, waache kuwashwa na shipa la mgongo.Treeenaah
Km hawataki watage






Watu na mahaba yenu buana ๐๐๐uduguuu nimechekaaa had baas.
Ngoja nimuimbie ba tamu "never ever" ya Vanessa mdee alale ucngz
Yaaani nyie subiri na midomi yenyu hyo siku wakiwabananiza watapiga nyie![]()



kina naniiii? Ba tamu angu yupooo ataniteteaa.Wajichanganye waone ๐๐๐๐Na ka mwili hako
Kisura mpole ila mdomo utakuponza sis ๐๐๐๐kina naniiii? Ba tamu angu yupooo ataniteteaa.
Hakuna cha w kukutetea ujue vooWajichanganye waone ๐๐๐๐
Mahaba km yoteeee,Watu na mahaba yenu buana
Mi leo najisikia vibaya hata job sijaenda.!! Na nikiumwaga naogopa kusinzia nahisi ntapitiliza![]()







uduguu unaogopaa kufaa?๐๐๐๐ umenikumbusha, si nimejitia uchizi nimejifanyia waxing ya kienyeji.!! Wohiiii wohiii inaumaje maniner mpk nimefoka ๐๐๐Mbona waminye vipira hadi vipasuke pwiiiiiii, waache kuwashwa na shipa la mgongo.
![]()
Nimepitia mujibu niko fit ohhh ๐๐๐๐Hakuna cha w kukutetea ujue voo
Naogopa balaa hapa niko peke yangu nimefungulia tv kwa sauti kubwa ili Israel akija aanze kucheck movie asahau!! ๐๐๐๐Mahaba km yoteeee,
uduguu unaogopaa kufaa?
Ahahahah jichanganye kuna mtu ana kuzoom tuu hapa jf we jichanganyeNimepitia mujibu niko fit ohhh ๐๐๐๐
Sijaona wa kuntisha jf ๐๐๐Ahahahah jichanganye kuna mtu ana kuzoom tuu hapa jf we jichanganye
umenikumbusha, si nimejitia uchizi nimejifanyia waxing ya kienyeji.!! Wohiiii wohiii inaumaje maniner mpk nimefoka
Nyie hatareeeeee unanena kwa lugha ambazo mwenyewe huwezi kuzirudia hata uwekewe billion



uduguuu ucnichekeshee mie hapaa.


niliropokaa mambo ya ajabu, yaan kungekua na mtu karibu angenifunga kamba, kwamba uchizi umeanzaa.


kumuambia baba tamu alicheka, japo sio mchekaji holela, na ni mgumu kucheka.Naogopa balaa hapa niko peke yangu nimefungulia tv kwa sauti kubwa ili Israel akija aanze kucheck movie asahau!!
Natafuta wa kumpigia simu anisogezee usingizi nilale, sijui nimpigie dear ex



had dear ex tena, woiiiiih.Yaan wee muoga kweli,Ahahahah jichanganye kuna mtu ana kuzoom tuu hapa jf we jichanganye




๐๐๐๐ nakwambia yamenikuta sina hamu!!uduguuu ucnichekeshee mie hapaa.
Kuna siku nafanya usafi kwa kutumia water lubries inaitwa Devex,
Sasa kumbe inatakiwa maji ya uvugu uvugu, mie nkatumia ya baridii, kuweka kugusa kule kunako, nlivyorukaa na kupiga ukunga huo.
niliropokaa mambo ya ajabu, yaan kungekua na mtu karibu angenifunga kamba, kwamba uchizi umeanzaa.
kumuambia baba tamu alicheka, japo sio mchekaji holela, na ni mgumu kucheka.
๐๐๐๐๐ ndiwoohad dear ex tena, woiiiiih.
Nani alikua anakukubali?huyu mie namshangaa, hajawahi nitongoza na hatukuwahi zungumza chochote kuhusu love, ila yeye ndo alikua ananikubalii akijua ni ka dyadyaa.
Sasa baada ya kuambiwa mie ni kidampa, kaanza chuki na hasira, sasa km hana interest na vidampa si awe buzzy na galz, uzuri mie sina hata tyme nae, niko buzzy na yangu.
Ila yeye hawezi kaa bilaa kunifata fata,
JF ina heka heka hatariiii.