Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kumbe anakupenda 😂😂😂
Sasa si akusemeshe kwa sauti ya mamlaka ya pesa km ana jeuri.!!
Ila jf ukimkataa mtu anaanza kukuponda!! Umenikumbusha babu miga alivyoanzaga kuniponda bibi 🤣🤣🤣
Unanikosea..
 
Ko yy alijua ww gal
Sasa si akupende hivo hivo na ukidampa wako!! Au anaogopa??
hata asinipende, kunifata fata huko kwiooo?
Hat akitaka aende kwa wadada wapo wanaotoa samvu la kopo, km mdada wa RC, ashindwee yeye tyuuuh.

Nikianza kuchachua waja, modes wanakimbilia kunipiga Ban.
 
hata asinipende, kunifata fata huko kwiooo?
Hat akitaka aende kwa wadada wapo wanaotoa samvu la kopo, km mdada wa RC, ashindwee yeye tyuuuh.

Nikianza kuchachua waja, modes wanakimbilia kunipiga Ban.
Kwa kweli wanakuanza wenyewe kwa hili nakutetea uduguu 😂😂😂😂
 
huyu mie namshangaa, hajawahi nitongoza na hatukuwahi zungumza chochote kuhusu love, ila yeye ndo alikua ananikubalii akijua ni ka dyadyaa.

Sasa baada ya kuambiwa mie ni kidampa, kaanza chuki na hasira, sasa km hana interest na vidampa si awe buzzy na galz, uzuri mie sina hata tyme nae, niko buzzy na yangu.

Ila yeye hawezi kaa bilaa kunifata fata,
JF ina heka heka hatariiii.
Ila we jamaa una matatizo sana...
 
Back
Top Bottom