Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 35,667
- 70,303
Hee kumbeee...Mods, ikifika Kesho kama hawatumi picha, fungeni tena huu Uzi. 😎😎
Hee kumbeee...Mods, ikifika Kesho kama hawatumi picha, fungeni tena huu Uzi. 😎😎
Hapo hata jirani hawezi juwa kinachoendelea side hii 😎
Kikubwa ni kila mmoja ashangilie awezavyo😆😆Ila nyie bana...mnajua mna ulimbukeni mpk malimbukeni wenye phd zao wamekaa pembeni... 🤣 🤣 🤣 🤣
Yeah, fanya kutubless na picha mtaniHee kumbeee...
Kilaza sijaelewa chochote
Wee si katakatifu? Sisi dada zako tumeelewa...Kilaza sijaelewa chochote
Sawa muda si mrf..Yeah, fanya kutubless na picha mtani
HahahahahaIla nyie bana...mnajua mna ulimbukeni mpk malimbukeni wenye phd zao wamekaa pembeni... 🤣 🤣 🤣 🤣
Usiache kunitag 😊Sawa muda si mrf..
Umeelewa, tena unaweza Kuta umeiforward kwa jamaa ukiisindikizia na caption "Next time bana kama hivi" 😅Kilaza sijaelewa chochote
Hebu nifafanulie ApostleUmeelewa, tena unaweza Kuta umeiforward kwa jamaa ukiisindikizia na caption "Next time bana kama hivi" 😅
We endelea kujifurahisha tu, mnaotaka Mo abaki ni ninyi Yanga ili Simba tuendelee kuteseka, ila sisi hatumtaki japo Yeye analazimisha kubakiHee
Kumbe tajiri kachoka anawabwaga kweli!?!
Kweli makolo hawabebeki😂💔
Dada wa thimbaaa😍🔥🔥🔥🔥👌👌👌🔥
HeeWe endelea kujifurahisha tu, mnaotaka Mo abaki ni ninyi Yanga ili Simba tuendelee kuteseka, ila sisi hatumtaki japo Yeye analazimisha kubaki
Nitake radhi mi siyo utopolo, mbona hakuna aliyezuiwa kutuma picha uzi si upo wazi jamani, watu Vinara wa kuomba picha za wenzao ila za kwao hawatumi 😃😃Kumbe mlifungiwa? Sasa watu badala watume picha kina Saint Anne na Jadda wanaleta mambo utopolo wao...
Reteni pichaaaaaa reteni pichaaaa
Haha iulize serikali, hatutaki matajiri wababaishaji, atuache tu na shida zetuHee
Kumbe tajiri hamumtaki?
Bil 20 yake itakuwaje sasa?
😂😂😂 Akiyanani mwamedi ameamini kweli masikini hawabebeki!🙌