Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ila nyie bana...mnajua mna ulimbukeni mpk malimbukeni wenye phd zao wamekaa pembeni... 🤣 🤣 🤣 🤣
Kikubwa ni kila mmoja ashangilie awezavyo😆😆
 

Attachments

  • JamiiForums-1897351829.jpeg
    JamiiForums-1897351829.jpeg
    44.7 KB · Views: 5
Hee
Kumbe tajiri kachoka anawabwaga kweli!?!

Kweli makolo hawabebeki😂💔
We endelea kujifurahisha tu, mnaotaka Mo abaki ni ninyi Yanga ili Simba tuendelee kuteseka, ila sisi hatumtaki japo Yeye analazimisha kubaki
 
We endelea kujifurahisha tu, mnaotaka Mo abaki ni ninyi Yanga ili Simba tuendelee kuteseka, ila sisi hatumtaki japo Yeye analazimisha kubaki
Hee
Kumbe tajiri hamumtaki?
Bil 20 yake itakuwaje sasa?
😂😂😂 Akiyanani mwamedi ameamini kweli masikini hawabebeki!🙌
 
Kumbe mlifungiwa? Sasa watu badala watume picha kina Saint Anne na Jadda wanaleta mambo utopolo wao...
Reteni pichaaaaaa reteni pichaaaa
Nitake radhi mi siyo utopolo, mbona hakuna aliyezuiwa kutuma picha uzi si upo wazi jamani, watu Vinara wa kuomba picha za wenzao ila za kwao hawatumi 😃😃
 
Back
Top Bottom