Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hapa ni wapi kwa wapenda nature...
IMG-20231231-WA0025.jpg
 
miwanaume ya bongo minafikii balaaa,
Kutwaa kuranda kutafuta vidampaa, ila public inajifanya haitakiii.

Mingine utaisikia "wanawake wanaumiza hawana mapenzi ya kweli" ujue kuna kidampa anapigwa hapo akunjwe 7 muhuni apite hivii.

Minafki sana inawatafuna vzr vidampa 😂😂😂
 
Wee modes kuniban ili nisitoe duku duku langu ndo nn? Mbona wengine walitoaaa? Ko mie siruhusiwiii kutoa yangu?

Nasemajeee, siku nikitibukaaa, nayamwagaa hapa yoteeee!!
Tena habarii nakupaa na ikufikieee, tena iweke kwenye jalada kabisaaa.

Habari ndo hiyoo, unataka ndo hivyoo, hutakii ndo hivyoo!!!
Muache bana active yuko poa sana ktk modes wote, Mello ampandishe cheo anatendea haki kero zetu.
Na wengine tulivyo wasumbufu wala hachoki kutusikiliza.! Km ni ME mi najitolea anioe bila mahari 🤣🤣🤣🤣
 
Shoga angu mi huyo 😍😍😍😍 mashallah mtoto unawaka had gizani, na kirangi cha chungwa awwww 😍😍😍😍

Wengine mlizaliwa kipindi gani jamani? Hamna hata kasoro sijapentraaaa kabesaaa 😂😂😂😂

Shoga angu mi huyo 😍😍😍😍 mashallah mtoto unawaka had gizani, na kirangi cha chungwa awwww 😍😍😍😍

Wengine mlizaliwa kipindi gani jamani? Hamna hata kasoro sijapentraaaa kabesaaa 😂😂😂😂
Asante shoga angu 😂😂😂😂😂😂
 
Muache bana active yuko poa sana ktk modes wote, Mello ampandishe cheo anatendea haki kero zetu.
Na wengine tulivyo wasumbufu wala hachoki kutusikiliza.! Km ni ME mi najitolea anioe bila mahari
labda anitajie mode anaye niban mie hovyoo niruke nae, asinichanganyie madesaa hapa khaaah
 
Back
Top Bottom