Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Aahh wapi tutakomaa na simba yetu mpaka ituue kwani wakati sisi tunachukua ubingwa Misimu minne mfululizo ninyi mlihamia huku, uzuri wa hizi timu zetu bhana mashabiki huwa tunapokezana muda wa kulia na kucheka, kwahiyo hata sisi muda wetu wa kucheka tena utafika tu 😊😊
Muda wa kucheka hautafika
Timu ishajifia hiyo 😂
 
Wooi tungekuwa tunaenda kutembeza bakuli si tungeendelea kumbembeleza Mo, au we unafikiri Mo anaondoka kwa kupenda, nyie tulieni hapo hapo wana simba msimu ujao tuna jambo letu
Hee
Kumbe tajiri kachoka anawabwaga kweli!?!

Kweli makolo hawabebeki😂💔
 

Attachments

  • JamiiForums821965647.jpeg
    JamiiForums821965647.jpeg
    646 KB · Views: 6
Back
Top Bottom