Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,524
- 203,264
Kimya kimya tumetoka lokapu 😂😂Haramia msaidizi kumbe active alishakuachia huru![]()
Kimya kimya tumetoka lokapu 😂😂Haramia msaidizi kumbe active alishakuachia huru![]()
Hawaiombi hivo 🤣🤣🤣🤣wewe lamomy naomba picha yako nimetokea kukufananisha muandiko na id fulani! usiponitumia namwaga manyanga hapahapa sina jambo lakupoteza!..😅
Hivi kumbe mi ndo kubwa la maadui?? 🤣🤣🤣Hee
Haramia mkuu umerejea
Mweee ofwaaa Nkamu
Ndagha Mama![]()
Karibu sana, ila huku huwa tunafanya mazoezi siku moja moja...😵😂😂Dr nitachagua kutibiwa kwenye kitengo chako.
🤣🤣🤣 tunaongea kwa code sisMna mambo nyie,eti VIDAMPA😂
leta upicha huoHawaiombi hivo 🤣🤣🤣🤣
Em mwaga kwanza nione
Hahahahaha..duh..yamekua haya ?wewe lamomy naomba picha yako nimetokea kukufananisha muandiko na id fulani! usiponitumia namwaga manyanga hapahapa sina jambo lakupoteza!..😅
🤣🤣🤣🤣
Na lazima urudi kwenye ubora wake 😂😂😂Angalau waasi wamerejea
Uzi ubalance aisee
Tulia hapo nakubless 🤣🤣🤣leta upicha huo
ohoo! sasa mbona umejifunika na kapuchino..?? nataka nione hilo komwe nimeona unyonyo upo na nundu ipo haya komwe sasa... ngoja nami nikujibu kwa kapuchino ya ukweli ukweli sasa ambayo imetengenezwa na kono la jambazi..😂KENZY uko tyr napita chap 😂😂😂
😂😂😂😂 mjinga weeh!!ohoo! sasa mbona umejifunika na kapuchino..?? nataka nione hilo komwe nimeona unyonyo upo na nundu ipo haya komwe sasa... ngoja nami nikujibu kwa kapuchino ya ukweli ukweli sasa ambayo imetengenezwa na kono la jambazi..😂View attachment 2972811
ukitaka kuniona mimi njoo chumbani..😃😂😂😂😂 mjinga weeh!!
Hebu pita hapa nikuone
Uzi umebalance sasa NkamuHivi kumbe mi ndo kubwa la maadui?? 🤣🤣🤣
Nkamu uzi umerudishiwa uzima
Kabisa aiseeNa lazima urudi kwenye ubora wake 😂😂😂
Ndio maana nimeuona uzi upo juu juuKimya kimya tumetoka lokapu 😂😂
Na ulipoa haswaah 🤣🤣🤣Uzi umebalance sasa Nkamu
Ulipooza kama uji wa mgonjwa
Halafu mnaniquote wote kwa pamoja hadi nachanganyikiwa😂😂😂 hamuachi heka heka
SanaNa ulipoa haswaah 🤣🤣🤣
Sasa tegemeeni burudani nyingi nyingi
Na Active anautembelea kila dk 3Ndio maana nimeuona uzi upo juu juu
Kumbe alqaida mmerejea kwa kishindo kama awamu ya Tano😂