Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi unajua namchachuaga Mello tsup?
Yaan nampaga heka heka, had anakimbiaa.
😂😂😂😂 Mi namuheshimu na ile sauti yake ya upole, sijui hata km anachapaga watoto wake..!
 
😂 una moto wako wa diesel
😂😂😂😂😂 Hivi amri ya 8 inasemaje nimesahau!! Kaka ww ni mroma?? Naomba unikumbushe nimesahau
IMG_7584.jpeg
 
D nimeambiwa umenunuliwa gari em selfika ukiwa ndani ya ndinga lako nikupongeze wifi, kutoka kumiliki iPhone mpk gari ni maendeleo makubwa.!! Em fanya jambo 😜
Aliyekwambia akupe na picha 🤣
 
Haki nateseka em ngoja niende kwenye uzi wetu ze ganaz humu nakabwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwenyewe naenda chimbo, kuna kidampa anafundwaa leo, bas full tafraniii.
Niko huku na kulee situlizaniiii kabisaa.
 
🤣🤣🤣🤣 Ss hivi tumekatia bima id zetu
Ila nna mwiba umenikaba, mwenzenu mimi nateseka sijazoea kabisa haya maisha ya kutulia..!! Yesu nisaidie
😂😂😂 kwanini hupendi amani?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mi namuheshimu na ile sauti yake ya upole, sijui hata km anachapaga watoto wake..!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aaaah wee!! Akikaa less less narukaa nae juu mawinguniii,
Namuheshimu, ila heka heka nampaaa sana tyuuu.
 
Mi nakuwekea picha original Dogo,ngozi inafanyiwa skin care routine na product za kikorea filter for what?kama unatumia kojie ya mama bonge Kko ndio utaweka ukungu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umande wake sasa, iwawa njombee inasubiri.
Woiiiiiiih
 
😍😍😍😍 ila bina wa motro
Toto super tall, limeenda hewani. Twiga wetu wa selfika 🥰🥰🥰🥰

Mama kazaa, Mungu kaumba.!
Super tall wapi bn haya selfika na ww tukuone, mana siku nyingi sana
 
Back
Top Bottom