Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,235
- 86,950
Udugu naona unatest mitambo 😂😂😂Hatutuliiiii!!!
Hatuna wa kumuogopaaa!!! Em niende tsup nkamchachue Mello mie.
Leo nna hamu ya kumchachua CEO.
Udugu naona unatest mitambo 😂😂😂Hatutuliiiii!!!
Hatuna wa kumuogopaaa!!! Em niende tsup nkamchachue Mello mie.
Leo nna hamu ya kumchachua CEO.
Haswaah aweke picha clear za HD hatutaki zenye ukungu macho mabovu hatuoni 🤣🤣🤣🤣C ndiwooooooh
Saint Anne njoo uone; mmoja wa wahaini wa Selfika ameachiwa huru🤣🤣🤣
😂😂😂 soon mnarudi mlikotokaHaswaah aweke picha clear za HD hatutaki zenye ukungu macho mabovu hatuoni 🤣🤣🤣🤣
The one and only one BL 🔥🔥🔥❤️🎵Shindo langu mimi mjikusanye wotreeeee!🎵
Muwe na mchana mwema wapendwaaa 🐒🐒🐒🐒🐒🐒🐒!
🤣🤣🤣🤣 Ss hivi tumekatia bima id zetu😂😂😂 soon mnarudi mlikotoka
Hahaha watu wanadai eti mapenzi yanauma, hivi wanajua maumivu ya kufungwa na mtani home and away, na kukosa ubingwa au kombe lolote kwa Misimu mitatu mfululu 😢😢Simba inatesa zaidi ya Mapenziii.
Haswaah aweke picha clear za HD hatutaki zenye ukungu macho mabovu hatuoni![]()



uduguu mbona uko less less sanaa? Utagonga watuu bhana? Nenda taratibuuu.D nimeambiwa umenunuliwa gari em selfika ukiwa ndani ya ndinga lako nikupongeze wifi, kutoka kumiliki iPhone mpk gari ni maendeleo makubwa.!! Em fanya jambo 😜😂😂khaaa
Watu hawajui yaan!! Inauma na kuchoma km pasi ya umeme.Hahaha watu wanadai eti mapenzi yanauma, hivi wanajua maumivu ya kufungwa na mtani home and away, na kukosa ubingwa au kombe lolote kwa Misimu mitatu mfululu![]()



D nimeambiwa umenunuliwa gari em selfika ukiwa ndani ya ndinga lako nikupongeze wifi, kutoka kumiliki iPhone mpk gari ni maendeleo makubwa.!! Em fanya jambo![]()





Ss hivi tumekatia bima id zetu
Ila nna mwiba umenikaba, mwenzenu mimi nateseka sijazoea kabisa haya maisha ya kutulia..!! Yesu nisaidie



ukizoea heka hekaa, kuacha ni ngumuuu.



😂😂😂😂😂 Hivi amri ya 8 inasemaje nimesahau!! Kaka ww ni mroma?? Naomba unikumbushe nimesahauThe one and only one BL 🔥🔥🔥❤️
Udugu naona unatest mitambo![]()



hivi unajua namchachuaga Mello tsup?Selfika tuna ndinga uduguu 🤣🤣🤣
Poleni watani. Kombe jipya la Muungano ni lenu. Na mmeanzia nusu fainali. Msiwaruhusu Azam wawanyang'anye 😁😁🏃🏿♂️Hahaha watu wanadai eti mapenzi yanauma, hivi wanajua maumivu ya kufungwa na mtani home and away, na kukosa ubingwa au kombe lolote kwa Misimu mitatu mfululu 😢😢
Selfika mbona wenye ndinga wengiii?Selfika tuna ndinga uduguu
Ndinga la mwanaselfika mmoja ni lote wote



Haki nateseka em ngoja niende kwenye uzi wetu ze ganaz humu nakabwa 😂😂😂😂ukizoea heka hekaa, kuacha ni ngumuuu.
Vululu vululu, full tafraniii![]()
🤣🤣🤣🤣Kumekuuuuuchaaaa in Mzee majuto voiceHatutuliiiii!!!
Hatuna wa kumuogopaaa!!! Em niende tsup nkamchachue Mello mie.
Leo nna hamu ya kumchachua CEO.
Bina selfika kitambo sijakuona 🤭