Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 21,709
- 51,134
Okay sio nirudi nikute ushakula ban maana wewe huchelewi😂Ndio mdogo wako uliyemchagua utafanyaje sasa??? 🤣🤣🤣
Wewe lewa mi niko makini kusubiria picha
Okay sio nirudi nikute ushakula ban maana wewe huchelewi😂Ndio mdogo wako uliyemchagua utafanyaje sasa??? 🤣🤣🤣
Wewe lewa mi niko makini kusubiria picha
😂😂😂😂 Mi namuheshimu na ile sauti yake ya upole, sijui hata km anachapaga watoto wake..!hivi unajua namchachuaga Mello tsup?
Yaan nampaga heka heka, had anakimbiaa.
😂😂😂😂😂 Hivi amri ya 8 inasemaje nimesahau!! Kaka ww ni mroma?? Naomba unikumbushe nimesahau
Bora umekujaOkay sio nirudi nikute ushakula ban maana wewe huchelewi😂
Yani Simba na Liverpool zinaninyanyasa Sana 🥺🥺Watu hawajui yaan!! Inauma na kuchoma km pasi ya umeme.
![]()
😍😍😍😍 ila bina wa motro
Aliyekwambia akupe na picha 🤣D nimeambiwa umenunuliwa gari em selfika ukiwa ndani ya ndinga lako nikupongeze wifi, kutoka kumiliki iPhone mpk gari ni maendeleo makubwa.!! Em fanya jambo 😜
Kuwa na amani mimi nachangamsha kijiwe kilipoa sana 🤣🤣🤣🤣Okay sio nirudi nikute ushakula ban maana wewe huchelewi😂
Forever and always msukumaaaaaaThe one and only one BL 🔥🔥🔥❤️
Haki nateseka em ngoja niende kwenye uzi wetu ze ganaz humu nakabwa![]()



mwenyewe naenda chimbo, kuna kidampa anafundwaa leo, bas full tafraniii.Pendeza ccy 😘😘🎵Shindo langu mimi mjikusanye wotreeeee!🎵
Muwe na mchana mwema wapendwaaa see you when you see me 🐒🐒🐒🐒🐒🐒🐒!
Mi nakuwekea picha original Dogo,ngozi inafanyiwa skin care routine na product za kikorea filter for what?kama unatumia kojie ya mama bonge Kko ndio utaweka ukungu😂😂😂😂Haswaah aweke picha clear za HD hatutaki zenye ukungu macho mabovu hatuoni 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂 kwanini hupendi amani?🤣🤣🤣🤣 Ss hivi tumekatia bima id zetu
Ila nna mwiba umenikaba, mwenzenu mimi nateseka sijazoea kabisa haya maisha ya kutulia..!! Yesu nisaidie
Mi namuheshimu na ile sauti yake ya upole, sijui hata km anachapaga watoto wake..!



aaaah wee!! Akikaa less less narukaa nae juu mawinguniii, Ewaaaaah!! 😂😂😂😂
Mi nakuwekea picha original Dogo,ngozi inafanyiwa skin care routine na product za kikorea filter for what?kama unatumia kojie ya mama bonge Kko ndio utaweka ukungu![]()



umande wake sasa, iwawa njombee inasubiri.Super tall wapi bn haya selfika na ww tukuone, mana siku nyingi sana😍😍😍😍 ila bina wa motro
Toto super tall, limeenda hewani. Twiga wetu wa selfika 🥰🥰🥰🥰
Mama kazaa, Mungu kaumba.!
Mie Man city kutolewa UCL na Madrid, nimevurugwaa had baas.Yani Simba na Liverpool zinaninyanyasa Sana![]()



🤣🤣🤣🤣 weka basi tuone nawe khaaa!!Aliyekwambia akupe na picha 🤣