Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,235
- 86,948
Sitaki nirushie madolari kwanza bro ndio niinuke ππππSimama,totoo.
Sitaki nirushie madolari kwanza bro ndio niinuke ππππSimama,totoo.
ππππ Anna naijua hiyo
Uduguu wangu hana baya nilishapanga kumsurprise na cake kali ππππItabidi mwezi mzima nianze kuidesign
Iwe standard kama udugu ake Mkemia Mkuu.
relakis kijana,tajir hafokewiMatajiri mmeanza kutufokea ππππ
Huyo sio wa kumuamini πππShemeji sijui amepotelea wapi tena jamani maji yangu yatapoa
Acha nikaoge kwanza.
Mashallah.Kuchat na picha kidogo wapendwa πππ
Yaani Hadi maji yangu yamepoa bafuniHuyo sio wa kumuamini πππ
Nilikwambia anachangamsha kijiwe ukakataa
Chino wangu πππMashallah.
ππππ Na hili baridi sasa??!!Yaani Hadi maji yangu yamepoa bafuni
πππππ Sawa tajirirelakis kijana,tajir hafokewi
Nitoe wapi dollars kaka yako niko hoi subiri nimuombe wifi yako a bunch of dollars anamiliki,Sitaki nirushie madolari kwanza bro ndio niinuke ππππ
Akikupa ndio nasimama πππNitoe wapi dollars kaka yako niko hoi subiri nimuombe wifi yako a bunch of dollars anamiliki,
Simama.
Mambo yako haya chinga π€£πMzee wa kwenye bullet train huyo, chap naiweka watch listπ
Nimeona unatetea mke safi sanaAntonnia hili la kusema lamomy mfupi kaingia chaka sana
ππππAntonnia nikimuweka gym miezi miwili namrekebisha body structure
Nampa na brain activator, namrudisha hapa alafu namuambia anza kupambana
Vipi Italy una Rudi lini??Mambo yako haya chinga π€£π
Subiri kidogoYaani Hadi maji yangu yamepoa bafuni
Mnywani mtayamaliza tu inshallah.Chino wangu πππ
Ulikuwa wapi beibbyy?? Udugu kanitukana πππππ
Mimi sitaki uwifi naye tena, kwanza mchape mnywanii kwann anitukane ππππ
Alafu bana unajua ile serious kabisa, Lamomy alipanga siku ya birthday ya Antonnia, amzawadie simu iPhone. Serious kabisaItabidi mwezi mzima nianze kuidesign
Iwe standard kama udugu ake Mkemia Mkuu.
Vipi Italy una Rudi lini??