Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tena huyu Red velvet isikose
Keki za kitajiri

Udugu ana picha Kali nyingi humu
Ntachagua tu moja Kali zaidi..
Fanya hivyo uduguu Mahondaw bday mwaka huu tunayo nakwambia, shetani kashapita ss hivi sasa ndio tutakuwa na strong friendship 😜
Inakuwa hakuna kunafikiana kila mtu anakaa kwenye nafasi yake 🥰🥰🥰🥰 uduguu wangu
 
Alafu bana unajua ile serious kabisa, Lamomy alipanga siku ya birthday ya Antonnia, amzawadie simu iPhone. Serious kabisa

Nikitulia ntatafuta hizi chats nikuletee kama ushahidi wa alichopanga, aliniambia hili kama miezi miwili iliyopita
Heee
Udugu ake anahamia kwenye iphone sasa🔥🔥🔥

Sipati picha maphoto makali yatakayotoka hapo
Sasahivi tu itel inatutetemesha🔥
 
Bimkubwa ali niambia kaa vizuri na ndugu yako, maana mlivyo kuwa tumboni.
Ili kosekana pilipili tu, lasivyo angekula 🤒.
FB_IMG_17091249557912416.jpg
 
Alafu bana unajua ile serious kabisa, Lamomy alipanga siku ya birthday ya Antonnia, amzawadie simu iPhone. Serious kabisa

Nikitulia ntatafuta hizi chats nikuletee kama ushahidi wa alichopanga, aliniambia hili kama miezi miwili iliyopita
Halafu nilitaka kumfanyia km surprise ushaharibu na wewe 😔😔😔

Uduguu hii ni kweli kabisaa nilipanga nkufanyie bonge la surprise kwa jinsi nilivyokuwa nakukubali basi tu.!!!
Sijui kwann shetani kapita, nilitaka nikupe iphone hii serious kabisaaa ilitoka moyoni.!!
Dah!! Ila shetani mbaya sana 😂😂😂😂

Ila nitatimiza ahadi uduguu akikubali, halafu mimi nilitaka tuwekane sawa tu wala sijammind.!! Ningemmind ningepandisha mashetani muda huu ningekuwa na ban
 
Mchape kwanza na umwambie aniombe msamaha 😔😔😔😔
Lasivyo amtafute wifi yake mwingine mi sitaki teeenaa 😜😂😂😂😂
Hapa nishammiss udugu wangu, nna arosto la ubuyu kweli
Ntakaa naye faragha
na udugu utarudi kama zamani usijali.

Uzuri wako nachokupendea huna uadui wa kudumu.

Hauna nyingine tena hapo mchuchu.
 
Ntakaa naye faragha
na udugu utarudi kama zamani usijali.

Uzuri wako nachokupendea huna uadui wa kudumu.

Hauna nyingine tena hapo mchuchu.
😀😀😀 Mimi sinaga uadui kabisaaa.. haswaaa kwa uduguu wangu, hapa nishammiss mwenyewe 😔😔😔

Nyingine akija udugu nitaselfika 😂😂😂
Mama miongozo njoo chino kasema turudishe uduguu na uwifi wetu ole wako ukatae 🤠🤠
Mimi ndio mtu pekee ninyekupenda humu shauri zako…. Njoo bana utupie picha za hipusi donti lai 😊😊
 
Halafu nilitaka kumfanyia km surprise ushaharibu na wewe 😔😔😔

Uduguu hii ni kweli kabisaa nilipanga nkufanyie bonge la surprise kwa jinsi nilivyokuwa nakukubali basi tu.!!!
Sijui kwann shetani kapita, nilitaka nikupe iphone hii serious kabisaaa ilitoka moyoni.!!
Dah!! Ila shetani mbaya sana 😂😂😂😂

Ila nitatimiza ahadi uduguu akikubali, halafu mimi nilitaka tuwekane sawa tu wala sijammind.!! Ningemmind ningepandisha mashetani muda huu ningekuwa na ban
Weuweee
Udugu ake iphone anayo hana?🔥
Macho matatu kalikali ya kikemia
 
Back
Top Bottom