Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,001
- 72,284
Nakutania bana😂😂😂😂 ninapenda high heels, ss hivi ndio nimepumzika navaa raba
Wewe sio mfupi
Nakutania bana😂😂😂😂 ninapenda high heels, ss hivi ndio nimepumzika navaa raba
Niko Njombe mahi 😂😂😂😂Mke wa tajiri naye ni tajiri tu
Mazingira yanaonekana🙌
Tajiri anatusanifu humu kuwa yupo anakinga maji ya mvua makambako,Kumbe anaishi uzunguni sijui Masaki huko..
Makambako hakuna sehemu ya hivyo.
😂😂😂 najua mahi wala hata usijali mi mtu wa kuchekaNakutania bana
Wewe sio mfupi
😂😂😂😂 ila weweNitampeleka gym
Wedges 😂😂😂Block heels
Watu wabaya sanaNiko Njombe mahi 😂😂😂😂
Mimi utajiri niutoe wapi??
😂😂😂 Utajiri nautoa wapi?? Hapa nimetoka kula chakula cha msibani sina habareeeeMmmh kusema ukweli kabisa na kwaresma hii, huyo ndio tajiri. Amini kwamba
Kusema ukweli mm sio tajiri, hili nalisema kutoka moyoni. Ila yeyeMke wa tajiri naye ni tajiri tu
Mazingira yanaonekana
Tajiri anatusanifu humu kuwa yupo anakinga maji ya mvua makambako,Kumbe anaishi uzunguni sijui Masaki huko..
Makambako hakuna sehemu ya hivyo.


Kaa kwa kutulia
Na ole wako uiweke, hizi zinatosha


😂😂😂😂 Ila Anne ujue unanichekesha sanaWatu wabaya sana
Ukisikiliza stori zako unaweza dhani wote tupo Tandika.
kumbe!
Hivyo viatu hata mwendokasi haviwezi kupanda.
AiseeKusema uongo ukweli mm sio tajiri, hili nalisema kutoka moyoni. Ila yeye
Hapana haishi masaki, but anapoishi![]()
Kwanza ngoja nifute hiyo video sitaki ipandishe watu visirani bure 😂😂😂
Pamoja na hizi video kweli mods bado watachukua hatua?
Unayaweza 😂😂😂😂Kusema ukweli mm sio tajiri, hili nalisema kutoka moyoni. Ila yeye
Hapana haishi masaki, but anapoishi![]()
Antonnia hili la kusema lamomy mfupi kaingia chaka sanaNakutania bana
Wewe sio mfupi
Kamtaji kangu kote ka keki nitie kwenye viatu😂😂😂😂 Ila Anne ujue unanichekesha sana
Mbona hivo viatu sio issue kabisaa hata wewe unaweza kuwa navyo mahi
Antonnia nikimuweka gym miezi miwili namrekebisha body structureila wewe
😂😂😂😂 Yani unavyokuza jamani…Kamtaji kangu kote ka keki nitie kwenye viatu
Hapo bado Ile saa
Bado nywele
Bado gauni
Nyie
Duniani yapo matabaka
Forever and always ✌️✌️✌️✌️✌️!
😂😂😂😂 Yani unavyokuza jamani…
Hapo nilipokea pesa ya kikoba ndio nikanunua na kufanya shopping mahi wala usiogope
Can i see that wedg.....Wedges![]()
