Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yaani ila huyu Moses ni real man
Juzi tu hapa kamvalisha Pete Leo tayari ndoa .

Bado ndoa ya dini tuone itakavyokuwa .

Hapa kuna fundisho mwanaume akikiupenda hapotezi muda .

She looks beautiful and stunning..
Hakuna Cha make up Wala nn
Yaani kanoga na hajapaka vikorombwezo vyovyote

Kabisa
Mtu alikuelewa na amejipanga wala hacheleweshi..ukiona mtu anazunguka zunguka sana ujue hapo hamna kitu😂
 
😂😂😂😂 👋👋 uduguu

Jamani mimi leo rasmi naomba niwaache na uzi wenu, muendelee kuselfika….
Kikubwa mshajua mbivu na mbichi kwa uchache, mengine mtajazia wenyewe!!
Sina ugomvi na mtu kwanza hatujuani kwa macho ya nyama…!!!
Tukutane kwenye nyuzi nyingine, nimeona active amekuja kutoa warning
Coca ulinikaribisha na leo nasepa zangu…🤠🚶🚶🚶🚶🚶
Uduguuu wangu nakupenda ila leo umeonyesha ukomavu kwa kutokuja na zile id’s mwanzo mwisho. Hivyo ndio inavyotakiwa mwanamke kujiamini 🤣🤣🤣🤣
 
Yaani kanoga na hajapaka vikorombwezo vyovyote

Kabisa
Mtu alikuelewa na amejipanga wala hacheleweshi..ukiona mtu anazunguka zunguka sana ujue hapo hamna kitu😂
Marie ni natural beauty
Eeh niliona video alivyomuimbia siku ya engagement aisee . Ts was so sweet .

Yani kweli kabisa na huyo aliamua kuoa . Juzi tu ndo katimiza 29

Wanaija wanaimba jamani
Kuna huyu dada ni pastor anaitwa Victoria orenzo .

Ni anajua , anafanya spiritual chants na worship pia .
 
Ngoja niitafute na mimi nisuuze macho
Marie ni natural beauty
Eeh niliona video alivyomuimbia siku ya engagement aisee . Ts was so sweet .

Yani kweli kabisa na huyo aliamua kuoa . Juzi tu ndo katimiza 29

Wanaija wanaimba jamani
Kuna huyu dada ni pastor anaitwa Victoria orenzo .

Ni anajua , anafanya spiritual chants na worship pia .
 
uduguu

Jamani mimi leo rasmi naomba niwaache na uzi wenu, muendelee kuselfika….
Kikubwa mshajua mbivu na mbichi kwa uchache, mengine mtajazia wenyewe!!
Sina ugomvi na mtu kwanza hatujuani kwa macho ya nyama…!!!
Tukutane kwenye nyuzi nyingine, nimeona active amekuja kutoa warning
Coca ulinikaribisha na leo nasepa zangu…
Uduguuu wangu nakupenda ila leo umeonyesha ukomavu kwa kutokuja na zile id’s mwanzo mwisho. Hivyo ndio inavyotakiwa mwanamke kujiamini
Mods wamesema comments ziambatane na picha
 
2nd half imefutwa hivihivi
Acha niendelee kupika ngano yangu
 

Attachments

  • IMG_20240228_152654_963.jpg
    IMG_20240228_152654_963.jpg
    2 MB · Views: 9
  • IMG_20240228_151327_231.jpg
    IMG_20240228_151327_231.jpg
    1.8 MB · Views: 10
Back
Top Bottom