Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,211
- 96,060
Niite proffesor, we bado kuruti😀Yes BUDDY . Specialized Walinzi
Niite proffesor, we bado kuruti😀Yes BUDDY . Specialized Walinzi
Wakikuvamia hamna wa kukkutetea na kaka yako maasai hata kuongea siwezi na if they roll up with words how can I back you up?nitumie sime kwa maneno ?🤣Una nihurumia nini??
Yaani kanoga na hajapaka vikorombwezo vyovyoteYaani ila huyu Moses ni real man
Juzi tu hapa kamvalisha Pete Leo tayari ndoa .
Bado ndoa ya dini tuone itakavyokuwa .
Hapa kuna fundisho mwanaume akikiupenda hapotezi muda .
She looks beautiful and stunning..
Hakuna Cha make up Wala nn
Shit, nime cheka ka mtoto aisee.Wakikuvamia hamna wa kukkutetea na kaka maasai hata kuongea siwezi na if they roll up with words how can I back you up?nitumie sime kwa maneno ?🤣
Leo ngoja niselfike after few minutes.....
Eeeeeeei kama ni hivyo basi for the sake of kuaminiana PM hadi kupeana files inatosha. 🤣 Bora wangenyooshana hawa watotoFake p haupo sahihi, they don't know each other.
Nb: Lamomy SIO mfupi
Marie ni natural beautyYaani kanoga na hajapaka vikorombwezo vyovyote
Kabisa
Mtu alikuelewa na amejipanga wala hacheleweshi..ukiona mtu anazunguka zunguka sana ujue hapo hamna kitu😂
Uko sahihi my young bro, ana niosheaga sometimes 😀.Iphone haifanani na android
Unachotakiwa kufanya,fumba macho pita mbio.Shit, nime cheka ka mtoto aisee.
Sema brothers are brothers, ita bidi tutengeneze cyber system, ita tusaidia kutupa back up😁
Walinzi na usomi where and where. 🤣 🤣 Senior inakutoshaNiite proffesor, we bado kuruti😀
Marie ni natural beauty
Eeh niliona video alivyomuimbia siku ya engagement aisee . Ts was so sweet .
Yani kweli kabisa na huyo aliamua kuoa . Juzi tu ndo katimiza 29
Wanaija wanaimba jamani
Kuna huyu dada ni pastor anaitwa Victoria orenzo .
Ni anajua , anafanya spiritual chants na worship pia .
Kwani kumwita mtu proffesor lazima awe msomi?!.Walinzi na usomi where and where. 🤣 🤣 Senior inakutosha
Aikooooo!Eeeeeeei kama ni hivyo basi for the sake of kuaminiana PM hadi kupeana files inatosha.Bora wangenyooshana hawa watoto
Tafuta huu wimbo inaitwa Eh yayaNgoja niitafute na mimi nisuuze macho
Mods wamesema comments ziambatane na picha![]()
uduguu
Jamani mimi leo rasmi naomba niwaache na uzi wenu, muendelee kuselfika….
Kikubwa mshajua mbivu na mbichi kwa uchache, mengine mtajazia wenyewe!!
Sina ugomvi na mtu kwanza hatujuani kwa macho ya nyama…!!!
Tukutane kwenye nyuzi nyingine, nimeona active amekuja kutoa warning
Coca ulinikaribisha na leo nasepa zangu…
Uduguuu wangu nakupenda ila leo umeonyesha ukomavu kwa kutokuja na zile id’s mwanzo mwisho. Hivyo ndio inavyotakiwa mwanamke kujiamini![]()
Ngoja niitafuteTafuta huu wimbo inaitwa Eh yaya
Or see how far you brought me
Kaimba na Nathaniel bassey .