Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwani kumwita mtu proffesor lazima awe msomi?!.
Professor is a title given to a person who posses a certain knowledge or skills in a broader way.
pole pole na unisomeshe, hiyo Certain knowledge or Skills in a broader way ndo sawa na kusema highest academic rank?? sikubali 🤣 🤣 anyway sawa profesa,
 
😂😂😂😂 👋👋 uduguu

Jamani mimi leo rasmi naomba niwaache na uzi wenu, muendelee kuselfika….
Kikubwa mshajua mbivu na mbichi kwa uchache, mengine mtajazia wenyewe!!
Sina ugomvi na mtu kwanza hatujuani kwa macho ya nyama…!!!
Tukutane kwenye nyuzi nyingine, nimeona active amekuja kutoa warning
Coca ulinikaribisha na leo nasepa zangu…🤠🚶🚶🚶🚶🚶
Uduguuu wangu nakupenda ila leo umeonyesha ukomavu kwa kutokuja na zile id’s mwanzo mwisho. Hivyo ndio inavyotakiwa mwanamke kujiamini 🤣🤣🤣🤣
Wote mmesimama kikike
Jeshi la mtu mmoja mmoja🔥
 

Attachments

  • IMG_0849.jpeg
    IMG_0849.jpeg
    385.8 KB · Views: 9
uduguu

Jamani mimi leo rasmi naomba niwaache na uzi wenu, muendelee kuselfika….
Kikubwa mshajua mbivu na mbichi kwa uchache, mengine mtajazia wenyewe!!
Sina ugomvi na mtu kwanza hatujuani kwa macho ya nyama…!!!
Tukutane kwenye nyuzi nyingine, nimeona active amekuja kutoa warning
Coca ulinikaribisha na leo nasepa zangu…
Uduguuu wangu nakupenda ila leo umeonyesha ukomavu kwa kutokuja na zile id’s mwanzo mwisho. Hivyo ndio inavyotakiwa mwanamke kujiamini

Mnatuachaje sasa hatujajua chanzo ni nin?
 
Back
Top Bottom