Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hope you guys had funny today

I would recommended not to extend this conversation to any longer

If you have discussed any issue privately, I don't think if it is fair to have it openly here unless there is agreement between you two. Wanasema usimwage Mchele kwenye Kuku wengi.

Learn to respect and forgive each other. Haiwezekani mtembee na mambo hayo hayo Kwa miaka yote hiyo pasipo kusameheana.

Tumeambiwa samehe 7X70, na huu ni Mwezi wa Kwaresma.

There is no trophies awarded for the best Derider here. Zaidi itakuwa kuvunjiana heshima tu.

Kuna msemo "Kwenye Wazee hapaharibiki jambo"

Naomba muendelee kuwa na imani na Wazee 🤗
Na take notes natka nije kua kama wewe Chief
 
Mkuu ukikanyaga mavi lazima nzi wakufuate. Alafu pia usitie sana huruma as if ni kitu kibaya na hufanyi hivyo, huo unakua ni unafki.
Lakini pia hupaswi kujilaumu kwa sababu kumtaka mtu sio dhambi, wewe ni mwanaume.

Mwisho unapaswa kumlaumu antonnia aliyeenda kumuambia hivyo na sio kumlaumu huyu lamomy

Peace and love
Nashukuru Kwa busara zako Mkuu

Pamoja na kuwa kichwa changu kimejaa Mvi kuonesha busara nilizonazo, naomba leo nichote busara zako pia.

🥂
 
Hope you guys had funny today

I would recommended not to extend this conversation to any longer

If you have discussed any issue privately, I don't think if it is fair to have it openly here unless there is agreement between you two. Wanasema usimwage Mchele kwenye Kuku wengi.

Learn to respect and forgive each other. Haiwezekani mtembee na mambo hayo hayo Kwa miaka yote hiyo pasipo kusameheana.

Tumeambiwa samehe 7X70, na huu ni Mwezi wa Kwaresma.

There is no trophies awarded for the best Derider here. Zaidi itakuwa kuvunjiana heshima tu.

Kuna msemo "Kwenye Wazee hapaharibiki jambo"

Naomba muendelee kuwa na imani na Wazee 🤗
Aikoooo i second you u mzee Babu hii haikutakiwa kuwa hivi😢😢 these two pysche know each other healthy. ila there is a chick behind plays as printers' devil.
 
Saint Anne
Umeona Moses bliss kafunga ndoa ya serikali .
Mkewe ni natural halafu mrembo balaa.
1709120871601.jpg
 

Attachments

  • 1709120856099.jpg
    1709120856099.jpg
    485.6 KB · Views: 6
Aikoooo i second you u mzee hii haikutakiwa kuwa hivi😢😢 these two pysche know each other healthy. ila there is a chick behind plays as printers' devil.
Tuwaombe waweke kando tofauti zao na waende mbele pamoja.

Nina hakika wakishikamana wanaweza kuwa partners wazuri kwenye biashara.

Huyu anaagiza mzigo kutoka DSM mwingine anaupokea kule Nyakibingi wanaendelea kutengeneza hela

Wasipoelewana, Kuna Siku hawataweza hata kusalimiana hapa ama huko nje barabarani
 
Back
Top Bottom