Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,675
- 39,092
Mimi hata sielewi nadhani ugomvi umeanzia pmKwano lamomy na mahondaw imekuwaje huwa ni marafiki
Mimi hata sielewi nadhani ugomvi umeanzia pmKwano lamomy na mahondaw imekuwaje huwa ni marafiki
Na take notes natka nije kua kama wewe ChiefHope you guys had funny today
I would recommended not to extend this conversation to any longer
If you have discussed any issue privately, I don't think if it is fair to have it openly here unless there is agreement between you two. Wanasema usimwage Mchele kwenye Kuku wengi.
Learn to respect and forgive each other. Haiwezekani mtembee na mambo hayo hayo Kwa miaka yote hiyo pasipo kusameheana.
Tumeambiwa samehe 7X70, na huu ni Mwezi wa Kwaresma.
There is no trophies awarded for the best Derider here. Zaidi itakuwa kuvunjiana heshima tu.
Kuna msemo "Kwenye Wazee hapaharibiki jambo"
Naomba muendelee kuwa na imani na Wazee 🤗
Hahahahaha...niko hapo hapo karibu ya GSM na kijani na njano
Hahahaha ,Kuna watu wanazinguaAcha roho ngumu🐒
Hapo kuna mgahawa mmoja wa kisomali una chakula kitamu ajabu hadi nyumba nyeupe wanakuja kula🙌🏻Hahahahaha...niko hapo hapo karibu ya GSM na kijani na njano
Nashukuru Kwa busara zako MkuuMkuu ukikanyaga mavi lazima nzi wakufuate. Alafu pia usitie sana huruma as if ni kitu kibaya na hufanyi hivyo, huo unakua ni unafki.
Lakini pia hupaswi kujilaumu kwa sababu kumtaka mtu sio dhambi, wewe ni mwanaume.
Mwisho unapaswa kumlaumu antonnia aliyeenda kumuambia hivyo na sio kumlaumu huyu lamomy
Peace and love
Aikoooo i second you u mzee Babu hii haikutakiwa kuwa hivi😢😢 these two pysche know each other healthy. ila there is a chick behind plays as printers' devil.Hope you guys had funny today
I would recommended not to extend this conversation to any longer
If you have discussed any issue privately, I don't think if it is fair to have it openly here unless there is agreement between you two. Wanasema usimwage Mchele kwenye Kuku wengi.
Learn to respect and forgive each other. Haiwezekani mtembee na mambo hayo hayo Kwa miaka yote hiyo pasipo kusameheana.
Tumeambiwa samehe 7X70, na huu ni Mwezi wa Kwaresma.
There is no trophies awarded for the best Derider here. Zaidi itakuwa kuvunjiana heshima tu.
Kuna msemo "Kwenye Wazee hapaharibiki jambo"
Naomba muendelee kuwa na imani na Wazee 🤗
Ubarikiwe Mkuu 🙏Na take notes natka nije kua kama wewe Chief
Ndio nilikua hapo hapo .kuna chakula kitamu sanaHapo kuna mgahawa mmoja wa kisomali una chakula kitamu ajabu hadi nyumba nyeupe wanakuja kula🙌🏻
Tuwaombe waweke kando tofauti zao na waende mbele pamoja.Aikoooo i second you u mzee hii haikutakiwa kuwa hivi😢😢 these two pysche know each other healthy. ila there is a chick behind plays as printers' devil.
Samahani shemeji unaweza nyanyua shingo kidogo?Selfika na jf snap it show it 🤳🤳🤳🤳🤳
Nikishavimbiwaga ugali ndondo dagaa ni kusinzia tu !
Na picha
Nimegundua maneno mengi sio poa, ila nipo hapa kulinda mipaka maana lameckagustino anaweza kuja muda wowote, hapo na mm ndio nisogeze manowari
Ndonani tena huko Daslamu?? Nimepitwa naile 🤳🤳 yako jamani koments zilikua nyingi afu nilikua na kazi!Saint Anne
Umeona Moses bliss kafunga ndoa ya serikali .
Mkewe ni natural halafu mrembo balaa.
View attachment 2919171
Funga mkuu
Cleanliness ni next levelHapana kariakoo kwa kweli Iphone shikamooo kwa camera🙌🏻
Khakhaaaa ! Usijareee kabesaaa nitaamka shibe mvimbiwo ikiisha !Samahani shemeji unaweza nyanyua shingo kidogo?