Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 39,429
- 94,863
Kaa kwa kutulia 😂😂😂😂Bado moja nataman uiweke[emoji23]
Na ole wako uiweke, hizi zinatosha
Kaa kwa kutulia 😂😂😂😂Bado moja nataman uiweke[emoji23]
Nitampeleka gym[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yule ana kisirani angetafuta jambo tu hapo
Sema udugu wangu hana baya
Nakutania bana😂😂😂😂 ninapenda high heels, ss hivi ndio nimepumzika navaa raba
Niko Njombe mahi 😂😂😂😂Mke wa tajiri naye ni tajiri tu
Mazingira yanaonekana🙌
Tajiri anatusanifu humu kuwa yupo anakinga maji ya mvua makambako,Kumbe anaishi uzunguni sijui Masaki huko..
Makambako hakuna sehemu ya hivyo.
😂😂😂 najua mahi wala hata usijali mi mtu wa kuchekaNakutania bana
Wewe sio mfupi
😂😂😂😂 ila weweNitampeleka gym
Wedges 😂😂😂Block heels
Watu wabaya sanaNiko Njombe mahi 😂😂😂😂
Mimi utajiri niutoe wapi??
😂😂😂 Utajiri nautoa wapi?? Hapa nimetoka kula chakula cha msibani sina habareeeeMmmh kusema ukweli kabisa na kwaresma hii, huyo ndio tajiri. Amini kwamba
Kusema ukweli mm sio tajiri, hili nalisema kutoka moyoni. Ila yeye [emoji119]Mke wa tajiri naye ni tajiri tu
Mazingira yanaonekana[emoji119]
Tajiri anatusanifu humu kuwa yupo anakinga maji ya mvua makambako,Kumbe anaishi uzunguni sijui Masaki huko..
Makambako hakuna sehemu ya hivyo.
[emoji23][emoji23]Kaa kwa kutulia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na ole wako uiweke, hizi zinatosha
😂😂😂😂 Ila Anne ujue unanichekesha sanaWatu wabaya sana
Ukisikiliza stori zako unaweza dhani wote tupo Tandika.
kumbe!
Hivyo viatu hata mwendokasi haviwezi kupanda.
AiseeKusema uongo ukweli mm sio tajiri, hili nalisema kutoka moyoni. Ila yeye [emoji119]
Hapana haishi masaki, but anapoishi [emoji119]
Kwanza ngoja nifute hiyo video sitaki ipandishe watu visirani bure 😂😂😂[emoji23][emoji23]
Pamoja na hizi video kweli mods bado watachukua hatua?
Unayaweza 😂😂😂😂Kusema ukweli mm sio tajiri, hili nalisema kutoka moyoni. Ila yeye [emoji119]
Hapana haishi masaki, but anapoishi [emoji119]
Antonnia hili la kusema lamomy mfupi kaingia chaka sanaNakutania bana
Wewe sio mfupi
Kamtaji kangu kote ka keki nitie kwenye viatu😂😂😂😂 Ila Anne ujue unanichekesha sana
Mbona hivo viatu sio issue kabisaa hata wewe unaweza kuwa navyo mahi
Antonnia nikimuweka gym miezi miwili namrekebisha body structure[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wewe
😂😂😂😂 Yani unavyokuza jamani…Kamtaji kangu kote ka keki nitie kwenye viatu
Hapo bado Ile saa
Bado nywele
Bado gauni
Nyie
Duniani yapo matabaka
Forever and always ✌️✌️✌️✌️✌️!