Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sema jamaa una hasira za taratibu sana, jambo la juzi unakuja kukasirika leo? Alafu mbona tulilimaliza hilo?

Mm ningejua vipi kuwa ulikua unatania? So mm kuja kusema umezingua kutumia pics za huyo mshikaji na kujifanya ni ww ndio umemind?
What if nisingesema, je ungekuja kusema kuwa ulikua unatania?

Sijaona sababu ya ww kuja kulirudisha tena hili leo


Anyway, I'm sorry na yaishe.

Siku hiz country mpole jamani
 
Mimi hata nashangaa wanawake humu mnagombania nini maana ndoa hazitokei humu huko pm au mnapokutana si muwanyooshe hao,Humu tunataka kila dakika ziwe nyuzi za vilio tu kutoka kwa mafataki

Wenzenu Single mamaz wamejua kuwanyoosha hao si mnaona nyuzi zao hazikauki Jf

Kwano lamomy na mahondaw imekuwaje huwa ni marafiki
 
Hope you guys had funny today

I would recommend not to extend this conversation to any longer

If you have discussed any issue privately, I don't think if it is fair to have it openly here unless there is agreement between you two. Wanasema usimwage Mchele kwenye Kuku wengi.

Learn to respect and forgive each other. Haiwezekani mtembee na mambo hayo hayo Kwa miaka yote hiyo pasipo kusameheana.

Tumeambiwa samehe 7X70, na huu ni Mwezi wa Kwaresma.

There is no trophies awarded for the best Derider here. Zaidi itakuwa kuvunjiana heshima tu.

Kuna msemo "Kwenye Wazee hapaharibiki jambo"

Naomba muendelee kuwa na imani na Wazee 🤗
 
Back
Top Bottom