Sema jamaa una hasira za taratibu sana, jambo la juzi unakuja kukasirika leo? Alafu mbona tulilimaliza hilo?Kuna kipusa aliniita Mimi ni kanjanja wakati mie nipo royal humu Wala sina shida na mtu kuhusu picha zile za Italy navyoziweka hata mwenye nazo anajua kuwa natumia picha zake maana ninachat nae dm ni mwanangu pia na juzi nimeongea nae fresh tu
na yaishe.Hiyo ndio dawa ya mafataki unakula pesa unabrock mpaka ukoo wake😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣
Ila we tapeli ukala sana hela za maziwa ya mtoto na pampers😂😂
Huko unakonipeleka siko kabisaaaaaaaa kijana.Tangazo kwa ufupi,
naitwa mtaalamu abcd, natengeneza dawa ya kupewa laki 1 Bila kuiomba.
Na uki iomba una pewa laki 2, haina haja ya kuja pm, we Sema hapa shida yako uta saidiwa.
Niko na msaidizi wangu dkt Zulu man the ganga of ganga😁😆.
View attachment 2919108
View attachment 2919110
I swear Sina kabisa😆😁, halafu selfika mchumba Nuzulati 😀Nasikia na wewe una michepuko mimi sichambani na wake wenza nakuja kungo’a zana ya kazi tuone tutacho shea😁😁😁😁
Kwamba aliyenaye hawaendani au😂Next time ataacha mitongozo yenye sifa. Awe calm apate babe real wa kuendana nae
Na Mwezi Ujao wakati wa kufata Pension yangu utanipeleka wewe Benki 🤗Nani kama babuuuuu🥰🥰
Wanadanganyana 🤣Kwamba aliyenaye hawaendani au😂
Buddha una fake u innocent, akati we ni witch doctor mkuu😆.Huko unakonipeleka siko kabisaaaaaaaa kijana.
🙌🤣
Achana na ugomvi wa wamama,watakuchezea hizo nyanya mbili ndani ya suruali na mbele ya watoto ufurahi.
Nakazia😂😂Hiyo ndio dawa ya mafataki unakula pesa unabrock mpaka ukoo wake😁😁😁
Kwanini uhangaike na me mjukuu wako nipoNa Mwezi Ujao wakati wa kufata Pension yangu utanipeleka wewe Benki 🤗
Ukidundwa sipo🤣🤣Wanadanganyana 🤣
Brother mbona Picha Zina mb kubwa Sana🤔.Afteroon everyone...
Niwape physical adressUkidundwa sipo🤣🤣
Camera ya simu kaka mkubwa...Brother mbona Picha Zina mb kubwa Sana🤔.
Thanks Mjukuu, I truly appreciate 🤗Kwanini uhangaike na me mjukuu wako nipo
Utanipa tu details zako na kadi ya bank nakufatia
Najua hii korido tunapita tu watu wanaishi kumbeHahahahaha...unahisi wanatania ?
Kaka hata Mimi natumia camera Kali, ila zako uwe una ziweka katika simple way tu.Camera ya simu kaka mkubwa...
Mimi hata nashangaa wanawake humu mnagombania nini maana ndoa hazitokei humu huko pm au mnapokutana si muwanyooshe hao,Humu tunataka kila dakika ziwe nyuzi za vilio tu kutoka kwa mafataki😁😁Nakazia😂😂