Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna kipusa aliniita Mimi ni kanjanja wakati mie nipo royal humu Wala sina shida na mtu kuhusu picha zile za Italy navyoziweka hata mwenye nazo anajua kuwa natumia picha zake maana ninachat nae dm ni mwanangu pia na juzi nimeongea nae fresh tu
Sema jamaa una hasira za taratibu sana, jambo la juzi unakuja kukasirika leo? Alafu mbona tulilimaliza hilo?

Mm ningejua vipi kuwa ulikua unatania? So mm kuja kusema umezingua kutumia pics za huyo mshikaji na kujifanya ni ww ndio umemind?
What if nisingesema, je ungekuja kusema kuwa ulikua unatania?

Sijaona sababu ya ww kuja kulirudisha tena hili leo


Anyway, I'm sorry na yaishe.
 
Tangazo kwa ufupi,
naitwa mtaalamu abcd, natengeneza dawa ya kupewa laki 1 Bila kuiomba.

Na uki iomba una pewa laki 2, haina haja ya kuja pm, we Sema hapa shida yako uta saidiwa.
Niko na msaidizi wangu dkt Zulu man the ganga of ganga😁😆.
View attachment 2919108
View attachment 2919110
Huko unakonipeleka siko kabisaaaaaaaa kijana.
🙌🤣
Achana na ugomvi wa wamama,watakuchezea hizo nyanya mbili ndani ya suruali na mbele ya watoto ufurahi.
 
Afteroon everyone...
 

Attachments

  • IMG_2688.jpeg
    IMG_2688.jpeg
    3.7 MB · Views: 7
Nakazia😂😂
Mimi hata nashangaa wanawake humu mnagombania nini maana ndoa hazitokei humu huko pm au mnapokutana si muwanyooshe hao,Humu tunataka kila dakika ziwe nyuzi za vilio tu kutoka kwa mafataki😁😁

Wenzenu Single mamaz wamejua kuwanyoosha hao si mnaona nyuzi zao hazikauki Jf😁😁😁
 
Back
Top Bottom