Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,234
- 79,765
Mdogo wangu Lisa ❤️❤️❤️❤️
Nani kakuchukulia POA tena 🙄😁,Sijataja mtu ila kuchukuliwa powa sipendi na sijamtapeli mtu humu nimeweka laki 3 tu
Aikoooo kweli mmefanana sana serious nimeona lips za mdomo wa chini 🤣 🤣 🤣Mdogo wangu Lisa ❤️❤️❤️❤️
View attachment 2918604
Kuna kipusa aliniita Mimi ni kanjanja wakati mie nipo royal humu Wala sina shida na mtu kuhusu picha zile za Italy navyoziweka hata mwenye nazo anajua kuwa natumia picha zake maana ninachat nae dm ni mwanangu pia na juzi nimeongea nae fresh tuNani kakuchukulia POA tena 🙄😁,
Asante sanaAikoooo kweli mmefanana sana serious nimeona lips za mdomo wa chini 🤣 🤣 🤣
Hahaha, kwani hamku yamaliza aise🙄🤣.Kuna kipusa aliniita Mimi ni kanjanja wakati mie nipo royal humu Wala sina shida na mtu kuhusu picha zile navyoziweka hata mwenye nazo anajua kuwa natumia picha zake maana ninachat nae dm ni mwanangu pia na juzi nimeongea nae fresh tu
Uzi upo kwenye category ya jf chit chats and jokes bado sijui masta alishindwa kuelewa hilooHahaha, kwani hamku yamaliza aise🙄🤣.
Sema sie masela, no war out
😁🤣🤣, Don't take it personally, ila hata mi nilijua sema haya kunihusuUzi upo kwenye category ya jf chit chats and jokes bado sijui masta alishindwa kuelewa hiloo
aletuya
Wee DA tin uko wapiiii? Hebu kujaa hapa tuendelee tulipo ishia, mwenzioo sina rahaa ubuyuu wakoo sina vizurii, nakereketwaa balaaa,
Fanyaa ukuje hapaaa unijuzeee kipenziiii chakoo, na unajua bila umbea sina maishaa.![]()
Mpaka Giza liingie huku nilipoKwa nin?
Mhhhhh me nshaanza kusinziaMpaka Giza liingie huku nilipo
Poleee sanaMhhhhh me nshaanza kusinzia
Asante sanaPoleee sana
😂😁😁Unajua mwenyewe![]()
Kinawaka kivumbi cha wenye pesa sasa, wapiiiii tajiriii,Leo nilikuwa kinondonimakumbusho Mimi na mdogo wangu nikapitia Roby one kumnunulia sandozi na nguo za milioni moyaa wale wazee wa kupeleza katafuteni hii nilipotoa na izo nilizopiga ghorofani mkipatia natoa laki 3
Tajiri hachukuliwi powa
View attachment 2918602





Kuna kipusa aliniita Mimi ni kanjanja wakati mie nipo royal humu Wala sina shida na mtu kuhusu picha zile za Italy navyoziweka hata mwenye nazo anajua kuwa natumia picha zake maana ninachat nae dm ni mwanangu pia na juzi nimeongea nae fresh tu





kipusaa tenaaa? Woiiiiiiii