Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Rudi tu mwaya
Yaliyopita si ndwele, Binadamu kutofautina ni jambo la kawaida..kikubwa ni kusameheana na kurekebisha mlipokoseana.

Maneno kawaida
Ila yasipite kiasi,,wewe control tu umbea basi unaendelea.

Unaogopa kusemwa?
Nani humu hajawahi kusemwa??watu tunasemwa tunapakwa matope na tunadunda tu wala siyo shida zetu na wala hatuhangaiki kujibu hadi wasemaji waombe poo wenyewe.

Rudi tuendeleze stori nzuri..maana apart from umbea ambao pengine ulitunanga watu kuhusu vitu tofauti,bado una mazuri Yako mengi.
Unakumbuka ulinifundisha kupika kachori?
Kila nikipika nakukumbuka

Imagine usingekuwepo ningejifunza wapi?
Ndio ujue bado una mazuri mengi ya kushare na watu.
Asante sana Yani
Kati ya watu sijaowasema ni ww
Sijui hata niliongea vipi huko .

Ila nilipata tu maneno tu kuhusu wewe na Mr vocha ..

Yaani sijui hata . I apologize for that

Asante sana Anne
I appreciate you kwa moyo wako wa upendo.

Yeah naikumbuka na niliona uliandika sehemu .

Au kama Depal issue ya mtoto dah
Namjua wapi huyu dada
Nilisikia maneno tu huko
 
Take it easy
Kilichoniuma sana ni yeye kuniita pimbi dah , ili hali I'm not short kihivyo

Na juzi kusema nimepauka kitaa sijui nn ,
Yeah ila naishi Maisha yangu , napambana mwenyewe ..

Sina pesa ndio lakini si sahihi kuja kumpaka mtu public vile

Rabbitus iliniuma sana hii .
Ila yamekwisha .

Kiukweli hata mimi sikupenda Ile statement hata kama ulikosea

Lakini jamaa aliadmit kwamba ilikuwa hasira tu,ukizingatia ilikuwa katika kurushiana maneno huku na huku.

Na alifungua uzi humu kwamba msameheane wote.
Kama watu wazima,pangeni namna mkutane mmalize mambo yenu..haipendezi kutupiana maneno kiasi kile,mwisho wa siku mbadhalilishana kufaidisha wambea.
Sisi tunawajua nyie wote watatu ni watu wazuri sana humu.

Naamini Kuna mambo mkiweka sawa,haya yote yatakwisha.
Na unajua mzizi wa yote haya ulianza baada ya kuyaleta hapa jukwaani mambo yenu ya kuibiana ID,mkamtag tena kwa lugha kali,na yeye akaja kujibu hapa mambo yakaharibika.

Kawekeni mambo sawa,,,
Na kwa kukudokeza tu,,,Ile mishe bado ipo.
It's up to you.
 
😂😂😂😂 Unataka kumponza uduguu wangu sasa?? Mwenzio huko aliko maziwa yamekauka sijui atamnyonyesha nini mtoto wetu jr….
Hawezi bana hilo nalijua

Wee hio mikwara uchwara yako wapelekee haohao wifi zako unaowang'ong'a na kuwachekea at the same time ambao wanakuogopa sio mimi!
Mimi wewe zaidi ya kubwatuka huna cha kunifanya yani hunaaa! Chochote kile huwezi nifanya si wewe wala huo ukoo wako elewa neno ukoo!
Na ninawashukuru matipo ids wamenifanya nijue wewe ni mtu wa aina gani utakhakha sana nakwambia bado hujasemaaa! Enhee nilivokukuwadia babu ndo ikawaje?? Wewe si mtu wa makavu mbona babu unaficha jina na pepsistic ulitaja hadi jina???

Wapige mikwara uchwara hao wifizo wanaokuogopaa

Hebu rudia selfii yako ya jana usiku kwanza nicheke mimiii🐒 Si unajiamini wewe huko kuwahi kufuta kwemaa?? Una wasiwasi nanini ndo huamini Hadi Picha zakoooo mwenyewe???

Afu leo tuweke video basiii ila anza na picha uloweka usiku then video sijui unataka tugundue nini!


Chat na picha wapendwaaa!!
 
Asante sana Yani
Kati ya watu sijaowasema ni ww
Sijui hata niliongea vipi huko .

Ila nilipata tu maneno tu kuhusu wewe na Mr vocha ..

Yaani sijui hata . I apologize for that

Asante sana Anne
I appreciate you kwa moyo wako wa upendo.

Yeah naikumbuka na niliona uliandika sehemu .

Au kama Depal issue ya mtoto dah
Namjua wapi huyu dada
Nilisikia maneno tu huko
Yaani unavyozidi kujitetea ndio unazidi kuharibu.

Chanzo cha yote unakuja..
Ni kumnanga yeye public..na nyie ndio mliomleta jamaa hapa mlivyomtag.
Sisi hata tulikuwa hatumjui.

Rekebisheni hapo na mkayamalise.
Vinginevyo mtakesha.
 
Take it easy


Kiukweli hata mimi sikupenda Ile statement hata kama ulikosea

Lakini jamaa aliadmit kwamba ilikuwa hasira tu,ukizingatia ilikuwa katika kurushiana maneno huku na huku.

Na alifungua uzi humu kwamba msameheane wote.
Kama watu wazima,pangeni namna mkutane mmalize mambo yenu..haipendezi kutupiana maneno kiasi kile,mwisho wa siku mbadhalilishana kufaidisha wambea.
Sisi tunawajua nyie wote watatu ni watu wazuri sana humu.

Naamini Kuna mambo mkiweka sawa,haya yote yatakwisha.
Na unajua mzizi wa yote haya ulianza baada ya kuyaleta hapa jukwaani mambo yenu ya kuibiana ID,mkamtag tena kwa lugha kali,na yeye akaja kujibu hapa mambo yakaharibika.

Kawekeni mambo sawa,,,
Na kwa kukudokeza tu,,,Ile mishe bado ipo.
It's up to you.
Mimi nilikasirika baada ya kuona anajibu watu vibaya kupitia akaunti yangu dah .

Ni umepatia hapo ndo ilipoanza maneno .

Asante sana kwa ushauri mzuri sana
Uzi ndio ulifunguliwa lakini juzi tu alikuja kunikanda Tena vibaya sana na kuanza ugomvi mpya .

That wasn't okay dah .

We sorted things up .. na yameisha .
I just hope in days to come .. yatakwisha kabisa .
 
Kilichoniuma sana ni yeye kuniita pimbi dah , ili hali I'm not short kihivyo

Na juzi kusema nimepauka kitaa sijui nn ,
Yeah ila naishi Maisha yangu , napambana mwenyewe ..

Sina pesa ndio lakini si sahihi kuja kumpaka mtu public vile

Rabbitus iliniuma sana hii .
Ila yamekwisha .
Weee kumbe upimbi ni mbaya kiasi hicho hahahah Nimecheka!
Pole sana . Achana nahizo maneno ndo unazidi kuwapa kiki wabeatukaji nakwambia.. Tuendelee kuselfika tu mamy!
Nimemiss lippsss kareee Naomba uibles asubuhi yangu mamy!
 
Wee hio mikwara uchwara yako wapelekee haohao wifi zako unaowang'onga na kuwachekea at the same time ambao wanakuogopa sio mimi!
Mimi wewe zaidi ya kubwatuka huna cha kunifanya yani hunaaa! Chochote kile huwezi nifanya si wewe wala huo ukoo wako elewa neno ukoo!
Na ninawashukuru matipo ids wamenifanya nijue wewe ni mtu wa aina gani utakhakha sana nakwambia bado hujasemaaa! Enhee nilivokukuwadia babu ndo ikawaje?? Wewe si mtu wa makavu mbona babu unaficha jina na pepsistic ulitaja hadi jina???

Wapige mikwara uchwara hao wifizo wanaokuogopaa

Hebu rudia selfii yako ya jana usiku kwanza nicheke mimiii🐒 Si unajiamini wewe huko kuwahi kufuta kwemaa?? Una wasiwasi nanini ndo huamini Hadi Picha zakoooo mwenyewe???

Afu leo tuweke video basiii ila anza na picha uloweka usiku then video sijui unataka tugundue nini!


Chat na picha wapendwaaa!!
😂😂😂😂 wala babu simfichi ni grahms, ulikuja kuniambia kwamba ananipenda eti nimtafute wakati ulisema Lenie kakuibia babu.. na aliahidi kumpa million, mwishoe akampa laki…
Na aliyekuunganishia babu gramhs ni coca 😂😂😂😂😂

Kaka Miongozo unaibiwa ulivyokuwa haupo ulikuwa unasaidiwa nikwambie wala sio km anavyokuaminisha tukunyema lako kwamba alibaki bila mtu ni muongo 🤣🤣🤣🤣

Uduguu hi 👋
 
Mimi nilikasirika baada ya kuona anajibu watu vibaya kupitia akaunti yangu dah .

Ni umepatia hapo ndo ilipoanza maneno .

Asante sana kwa ushauri mzuri sana
Uzi ndio ulifunguliwa lakini juzi tu alikuja kunikanda Tena vibaya sana na kuanza ugomvi mpya .

That wasn't okay dah .

We sorted things up .. na yameisha .
I just hope in days to come .. yatakwisha kabisa .
Lakini alikana kwamba hatumii ID yako
Na nadhani suala lako liliwasilishwa kwa Melo na ukapewa namba yake
Vipi hakukusaidia?

Katika ule uzi na wewe kuna jibu ulimjibu,ukafuta..nasema uongo?

Both sides mna shida.
 
Wee hio mikwara uchwara yako wapelekee haohao wifi zako unaowang'onga na kuwachekea at the same time ambao wanakuogopa sio mimi!
Mimi wewe zaidi ya kubwatuka huna cha kunifanya yani hunaaa! Chochote kile huwezi nifanya si wewe wala huo ukoo wako elewa neno ukoo!
Na ninawashukuru matipo ids wamenifanya nijue wewe ni mtu wa aina gani utakhakha sana nakwambia bado hujasemaaa! Enhee nilivokukuwadia babu ndo ikawaje?? Wewe si mtu wa makavu mbona babu unaficha jina na pepsistic ulitaja hadi jina???

Wapige mikwara uchwara hao wifizo wanaokuogopaa

Hebu rudia selfii yako ya jana usiku kwanza nicheke mimiii🐒 Si unajiamini wewe huko kuwahi kufuta kwemaa?? Una wasiwasi nanini ndo huamini Hadi Picha zakoooo mwenyewe???

Afu leo tuweke video basiii ila anza na picha uloweka usiku then video sijui unataka tugundue nini!


Chat na picha wapendwaaa!!
Unaona sasa unavyojimix jana mimi niliweka picha wapi?? 😂😂😂😂
Eti wananzengo jana niliselfika mimi hapa??
Mama miongozo gram hebu tulia, njoo taratiiibuu…..
Sema hiyo picha ss hivi umepiga vzr jana uliweka kwapa tupu….
Haya pandisha juu tuone dred

Halafu umekubali km una multiple id 😂😂😂
Mmeona?? Si niliwaambia???
Sasa msiwe mnajichosha na kujibizana na zile id’s ni zake na mwenyewe leo kakubali
 
Weee kumbe upimbi ni mbaya kiasi hicho hahahah Nimecheka!
Pole sana . Achana nahizo maneno ndo unazidi kuwapa kiki wabeatukaji nakwambia.. Tuendelee kuselfika tu mamy!
Nimemiss lippsss kareee Naomba uibles asubuhi yangu mamy!
Yaani pimbi 😂😂😂

What irritated me the most ni Kila alipokuwa ananitaja he addressed me as pimbi .
 
Lakini alikana kwamba hatumii ID yako
Na nadhani suala lako liliwasilishwa kwa Melo na ukapewa namba yake
Vipi hakukusaidia?
Kabla ya drama zote humu ndani alitumia .
Na alijibu comments mbili za watu humu ndani .

Alinisaidia na kunipa ushauri wa kufanya .
 
Asante sana Yani
Kati ya watu sijaowasema ni ww
Sijui hata niliongea vipi huko .

Ila nilipata tu maneno tu kuhusu wewe na Mr vocha ..

Yaani sijui hata . I apologize for that

Asante sana Anne
I appreciate you kwa moyo wako wa upendo.

Yeah naikumbuka na niliona uliandika sehemu .

Au kama Depal issue ya mtoto dah
Namjua wapi huyu dada
Nilisikia maneno tu huko
Hizo story zote zilipikwa na id’s za mama Miongozo wala msijichoshe kumtafuta mchawi wenu humu 😂😂😂😂
 
Wee hio mikwara uchwara yako wapelekee haohao wifi zako unaowang'onga na kuwachekea at the same time ambao wanakuogopa sio mimi!
Mimi wewe zaidi ya kubwatuka huna cha kunifanya yani hunaaa! Chochote kile huwezi nifanya si wewe wala huo ukoo wako elewa neno ukoo!
Na ninawashukuru matipo ids wamenifanya nijue wewe ni mtu wa aina gani utakhakha sana nakwambia bado hujasemaaa! Enhee nilivokukuwadia babu ndo ikawaje?? Wewe si mtu wa makavu mbona babu unaficha jina na pepsistic ulitaja hadi jina???

Wapige mikwara uchwara hao wifizo wanaokuogopaa

Hebu rudia selfii yako ya jana usiku kwanza nicheke mimiii🐒 Si unajiamini wewe huko kuwahi kufuta kwemaa?? Una wasiwasi nanini ndo huamini Hadi Picha zakoooo mwenyewe???

Afu leo tuweke video basiii ila anza na picha uloweka usiku then video sijui unataka tugundue nini!


Chat na picha wapendwaaa!!
Dada bonge video haiplay, rudia tena kuituma basi uduguu wangu 😂😂😂😂
 
Sasa niki mpa zawadi ya dunia, nyie mtakaa wapi🤣😁
Lakini nakumbuka ulimueleza hivyo Siku ya kwanza 😅😅

Yaani ulikosa ahadi zote za kumpa hadi umpe Dunia

Bora ungesema tumpe yale mashamba yetu ya Katavi 😜

Kuhusu sisi pa kuishi tutafanyaje sasa Wakati Kijana wetu ameamua kutufukaza kijanja......🙌
 
Back
Top Bottom