Asante sana YaniRudi tu mwaya
Yaliyopita si ndwele, Binadamu kutofautina ni jambo la kawaida..kikubwa ni kusameheana na kurekebisha mlipokoseana.
Maneno kawaida
Ila yasipite kiasi,,wewe control tu umbea basi unaendelea.
Unaogopa kusemwa?
Nani humu hajawahi kusemwa??watu tunasemwa tunapakwa matope na tunadunda tu wala siyo shida zetu na wala hatuhangaiki kujibu hadi wasemaji waombe poo wenyewe.
Rudi tuendeleze stori nzuri..maana apart from umbea ambao pengine ulitunanga watu kuhusu vitu tofauti,bado una mazuri Yako mengi.
Unakumbuka ulinifundisha kupika kachori?
Kila nikipika nakukumbuka
Imagine usingekuwepo ningejifunza wapi?
Ndio ujue bado una mazuri mengi ya kushare na watu.
Kati ya watu sijaowasema ni ww
Sijui hata niliongea vipi huko .
Ila nilipata tu maneno tu kuhusu wewe na Mr vocha ..
Yaani sijui hata . I apologize for that
Asante sana Anne
I appreciate you kwa moyo wako wa upendo.
Yeah naikumbuka na niliona uliandika sehemu .
Au kama Depal issue ya mtoto dah
Namjua wapi huyu dada
Nilisikia maneno tu huko