Selfika na JF: Snap it. Show it


Nimelia sana πŸ₯²itel tena jamani
 
stow away upite huku na mke mwenza Jagiya
 
Utashangaa unaletelewa taarifa ambazo hata wewe muhusika huna!

Tuwe makini na watu tunaowachagua kuwaamini aisee!
Yes dear
Nakushauri usiongee na mtu humu πŸ˜‚πŸ˜‚
Mie yashanikuta tayari .
Chat tu na watu jukwaani .
 

Mmuachieni Muongozo wake awe na amani jamani
Acheni kumuonea wivu
 
Zee una niponda kutaka kumpa dunia Nuzulati
πŸ‘‰Akati kumbe una tumaga na ya kutolea-😁🀣
Don't bother with this Young Man, it's normal jokes ya Mzee na Wajukuu

Ila sikutarajia kuhusishwa na hizi mambo hasa Kwa Mzee wa Umri wangu

Ngoja niwe kama Wazee wenzangu akina Butiku tu πŸ€—
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…