Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hata kwenye stori sijui niliingia vipi maana ilikuwa uzi wamefunguliana huko,ERoni alikuwa anajadiliana,nikaingizwa na mm kwenye stori from no where na matusi kibao.

Nikawaza ama ndio vitisho nilivyopewa pm wamekuja kutimiza azma yao.
Yani katika vitu sipendi ni kusemwa na hasa kusingiziwa. Kuna wakati unatamani ungejua physical address za hawa watu.
 
Top of the morning to y'all.
Screenshot_20240228-112556.png
 
I mean no malice to nobody, namaanisha una pewa ushauri mzuri.
👉Tatizo we una jiogopa, kwa maana nafsi yako isha kushauri
Well kuhusu kurudi humu ni hapana
Nishaamua kuhusu hilo na sirudi nyuma .

Nishapitia hali fulani huko nyuma so
ndo Iko hivyo kwangu .

Kuhusu kuignore watu , everyone has a breaking point . Mimi nina roho nyepesi .

I can't handle criticism very well.
So siwezi na ndio Mimi ni mbishi .
 
Au kama @Depal issue ya mtoto dah
Namjua wapi huyu dada
Nilisikia maneno tu huko
Mimi issue ya mtoto nina uhakika atakuwa National/ Shimba
😂😂 hao ndio watu pekee niliowadanganyaga kwamba nishazaa.

Ila kuyakuta kwa Rabb
Na akasema we ndio umesema
Na akasema umesema mm naringa, nachat kwa kujuana?
😀😀😀😀 mimi hata havinishtui mahi wangu. Shaka ondoa ✌️✌️😘
 
Wa kuweka sawa uzi ni sisi wenyewe.
Na njia ya kuweka sawa ni kuachana na hizo stori zote zilizoharibu amani ya Uzi...kuendelea na stori nyingine
Tuendelee na picha
Tuendelee na mapishi
Tuendelee na mengine mengi ya utani ambayo tulikuwa tunafurahia pamoja.

Ukikimbia utaendelea kuleta attention kwa watu na watazidi kukuuliza na kuuliza maswali..
Ukiwepo na kuendelea na mambo mengine,stori za vurugu na maswali yote yatapotea.
Asante sana
Nashukuru

Yeah hopefully siku uzi utakuja kuwa sawa kabisa . Let's be positive .
 
Mimi issue ya mtoto nina uhakika atakuwa National/ Shimba
😂😂 hao ndio watu pekee niliowadanganyaga kwamba nishazaa.

Ila kuyakuta kwa Rabb
Na akasema we ndio umesema
Na akasema umesema mm naringa, nachat kwa kujuana?
😀😀😀😀 mimi hata havinishtui mahi wangu. Shaka ondoa ✌️✌️😘
Hehehe kumbe aisee
Sasa bhana nilipata maneno Toka kwako .
Nikiyasema ni aibu niishie hapa 😂😂
Asante sana dear .
 
Mimi issue ya mtoto nina uhakika atakuwa National/ Shimba
😂😂 hao ndio watu pekee niliowadanganyaga kwamba nishazaa.

Ila kuyakuta kwa Rabb
Na akasema we ndio umesema
Na akasema umesema mm naringa, nachat kwa kujuana?
😀😀😀😀 mimi hata havinishtui mahi wangu. Shaka ondoa ✌️✌️😘
Humu watu Wana kikundi chao cha kuchakata umbeya .
Mbaya zaidi ni wanaume

Wanakaa kwenye groups humo na kutuchambua .

Huyu analeta za huyu , mwingine za yule mwisho wa siku wanazi publish .

Humu ni zaidi ya the shade room 😂😂
 
Wa kuweka sawa uzi ni sisi wenyewe.
Na njia ya kuweka sawa ni kuachana na hizo stori zote zilizoharibu amani ya Uzi...kuendelea na stori nyingine
Tuendelee na picha
Tuendelee na mapishi
Tuendelee na mengine mengi ya utani ambayo tulikuwa tunadurahia pamoja.

Ukikimbia utaendelea kuleta attention kwa watu na watazidi kukuuliza na kuuliza maswali..
Ukiwepo na kuendelea na mambo mengine,stori za vurugu na maswali yote yatapotea.
Asante sana dearest
Nashukuru
Inabidi wewe kama mama mchungaji tuoombee selfika maana ni Kuna kakitu humu .

Tusamehaneni yaishe . Uzi urudi
 
Dah😂😂😂😂😂😂😂
Yaani Kuna stori zinachekesha🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Halafu wawe wanafungua na nyuzi kabisa na kuweka ushahidi mubashara,siyo porojo tupu.

Aliyetunga simjui ila popote alipo Mungu anamjua na nilishamuachia Mungu,kwa kila Neno atatoa hesabu.
Wanapigana na Mimi,wanapigana kazi ya Mungu alivyonipa,Ina maana wanapigana na Mungu mwenyewe
Mimi wala sina cha kupambania.
Mama Miongozo anawachezea akili zenu 😂😂😂
Yeye pekee humu ndiye anayejuana na kila mtu piem, sababu yy na national ni mtu na babe wake sema waligombana kwa vitu vidogo vidogo….. si unakumbuka walikuwa wanatumiana mpk picha za chiu 😂😂😂😂

National alisema aliombwa picha za dushe baada ya mama miongozo kumtumia papa naye alitaka aone pombooo jero la national 🤣🤣🤣🤣
 
You pipo know me very well asante sana! 😘😘!
Humuu hakuna asie na macho au masikio kusema haoni kinachoendelea Ndiomana unaona watu wapo kimyaa hawaingilii wapo selfika muda mrefu zaidi ya huyo shortiiiiiii some wanajua each and everything! Na toka muda humu Kuna wabwatukaji wanajulikana vizuri no need ya kujitetea !
Sema nini mkuki kwa nguruwe maninnnaaa!🐒🐒🐒!

Mmeambiwa sikuhizi muweke videos ili tunaotumia filter tuumbuke shenzkabisaa🚮🚮🚮🚮🚮🚮!


Shortiiiiiiiiiiiiiiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🐒🐒🐒🐒

Na picha jamani
Wee video yako iko wapi?? Mbona huweki tuone umekomalia wenzio waweke video??
Halafu ukisema shortiiiii ujue unamtukana anayekukaza kaka Sele 😂😂😂😂

Si unajua mumeo sele wa mbosso kwa kimo??
Uduguuu unajitukana ujue 😂😂😂
 
Back
Top Bottom