Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

You pipo know me very well asante sana! 😘😘!
Humuu hakuna asie na macho au masikio kusema haoni kinachoendelea Ndiomana unaona watu wapo kimyaa hawaingilii wapo selfika muda mrefu zaidi ya huyo shortiiiiiii some wanajua each and everything! Na toka muda humu Kuna wabwatukaji wanajulikana vizuri no need ya kujitetea !
Sema nini mkuki kwa nguruwe maninnnaaa!🐒🐒🐒!

Mmeambiwa sikuhizi muweke videos ili tunaotumia filter tuumbuke shenzkabisaa🚮🚮🚮🚮🚮🚮!


Shortiiiiiiiiiiiiiiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🐒🐒🐒🐒

Na picha jamani
Yani humu unaweza zushiwa kitu ukasema dadeq ..

Wapika ubuyu ni watu na nusu 😂😂

Yaani kwenye hili ni Bora kukaa kimya
 
😂😂😂😂 Bado hujasema uduguu
Mimi niwe na nyege na wewe utakuwa na nini?? JF nzima ww ndo mwanamke mwenye nyegeee mpk umerudia matapishi yako…..
Halafu ww ni ndumilakuwili pro max sababu hujiamini na id yako hii.
Humu nani asieyejua km zile id’s ni zako?? Kwann mods walifuta id yangu wakakuachia zako hujiulizi??
Halafu zile id’s zilikuwepo kabla ya uwepo wangu selfika na zilikuwa zinachamba wake wenzio na kukusifia ww.!! Umeona unavyojichanganya???

Unaanza utetezi eti nna ukoo 😂😂😂
Na wewe njoo na ule ukoo wako wa id’s za kuchamba basi wakupe kampani….
Mwenzio mimi sitegemei silaha nchi jirani huwa napambana mwenyewe….

Picha zangu nilishaweka mpk nimechoka, ww weka zako za bush bana, afu nimekumbuka kwann unalalamika wanakusema ww wa maporini lkn unapendwa na miongozo 😂😂😂

Uduguu mi bado nipo sana, ww unapenda kusema wenzio wabaya na hawajui kuvaa humu, utafikiri ww una maajabu basi 🤣🤣🤣🤣
Naona unajichanganya humu watu ni vipofu hawaoni????

Mie huyu ambae nachambwa wa bushi kijijini sijui kuvaa nilimsema nani hamjui kuvaaa?? Tuliza wenge shortiiii Mimi ndio nasemwa sijui kuvaa and lots of blah blah!

Hao mnasema tulishea bwana kwa wanawake kawaida sana hiooooo Haya wee nae huko kuniandama kwemaa? Nina uhakika hatujashea mtu so better mind your uwn fcking bizneee short lady Mikwara uchwara yako hukoooo wa mapimbi wenzio Afu mie sio bongenyanya sawa???

Hebu nawewe tupia basii mbona huamini picha zako mwenyewe??
Halafu ile sio video ni screenshot kimaaa wewe nikiweka video utakimbia tena invojua kunitoa vizuri kuliko Kamera ya foto sasa!

Nhaaaaaa🙄🙄🙄🙄


Chat na picha msemaji na mwanahabari wa wake wenzangu !! Wao hawana midomo??? Hawajiamini hadi wakutume???

Acha nyegembwatuko weeweeee!
 
Mama miongozo kasema tuselfike wacha niselfike kidoogooooo 😂😂😂😂 inafutwa
Hili nalo la kujadili? Nasemaaaajeeeeee Bado hujasemaaa..!
Nasubiria jipyaaaaaa na videos plus your selfisss
Mimi siyumbishwiii kapinnchiii pensoooo utahahaa mpaka basi!

Smart miongozo Smart miongozo Smart miongozo!! Nawe njoo uongezeke naona unaumiaaaaa

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🐒🐒🐒🐒🐒
 

Attachments

  • Screenshot_20240227-111748~2.jpg
    Screenshot_20240227-111748~2.jpg
    17.9 KB · Views: 6
Hili nalo la kujadili? Nasemaaaajeeeeee Bado hujasemaaa..!
Nasubiria jipyaaaaaa na videos plus your selfisss
Mimi siyumbishwiii kapinnchiii pensoooo utahahaa mpaka basi!

Smart miongozo Smart miongozo Smart miongozo!! Nawe njoo uongezeke naona unaumiaaaaa

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🐒🐒🐒🐒🐒
Weka video sasa mbona unapiga domo tupu 😂😂😂
Ww unajiamini ila video huweki, leo utakosa maziwa ya kumnyonyesha mtoto ujue 😂😂😂
 
Back
Top Bottom